Igwe Kingdom
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 317
- 590
Aya nitakuja pm tuyajengeHadi January naresume tena mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya nitakuja pm tuyajengeHadi January naresume tena mkuu
tutamuona pindi akipigwa la piliHivi manula yupo uwanjani??
FT SIMBA 3-1We achana na haya madude, nisikilize mimi.
Yanga itashinda.
hapana simba apigwe 3 kupunguza keleleMechi iishe hivi hivi.
FT SIMBA 3-1Ngoja utakavyopata aibu mganga uchwara[emoji23][emoji23] unatuwekea hirizi ya jin maimuna badala ya ushindi
Bado ana wenge la 'majeraha'.Leo Manura ana kitete sana, ule mpira kampa vipi mchezaji wa Yanga na hakuwa amekabwa.?
Huyu mzee nayeye kwa ufundijadi duh kwa hiyo Yanga watakula chuma tatu
Washaloga hao hamuwezi kufunga. Mtashindanao kurushiana majini mpaka mwisho wa mechihapana simba apigwe 3 kupunguza kelele
Hapana, Utopolo akandwe heshima iwepoMechi iishe hivi hivi.
Naombeni link ya kuangaliaKuna namna mpira hauko kama nilivyotarajia..!
Naombeni link ya kuangaliaHapana, Utopolo akandwe heshima iwepo
Nimemmind hata hatujashangilia sana karudisha😀Amewatoboa 😃😁
😂😂😂Nitarudi...