Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Huyu ajiga ni mwendawazimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana mkuuAya nitakuja pm tuyajenge
😀😀😀😃 mmepata furaha ya muda mfupiNimemmind hata hatujashangilia sana karudisha😀
Sidhani kama Azam Media wameacha hiyo mianya.Naombeni link ya kuangalia
Ndo sifa ya timu ndogoNimemmind hata hatujashangilia sana karudisha[emoji3]
Nimekumiss Kelphin, uko poa lakini? Usijali mimi nawewe tena [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tuupe muda wakatiHuyu mzee nayeye kwa ufundijadi duh kwa hiyo Yanga watakula chuma tatu
penati ya wazi, matokeo ya kuwaachia wao ndo wana lalamika kuonewaTuta hilo refa kameza filimbi, kaudaka mguu kajidai kagongwa kichwa.
Hilo swala sio letu msumu huu, labda kama umechelewa kuujua uchezaji wa Simba sc msimu huu.!Simba tumezidiwa kwenye umiliki.
Kwani wakionyesha live kwenye page yao si wanapata hela ya ads?Sidhani kama Azam Media wameacha hiyo mianya.
Pole sanaSimba hapati hata goli moja matokeo ni Yanga 2-0 au Yanga 1-0 Simba watalia watu kwenye mitaro leo