Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Kibu D piga piga kama hizo nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari sana hiiNgoja kwanza
Kwahyo sahiz shomali kapombe (baba esta)
Anadaka miguu[emoji3][emoji3]
wakati sio muda?
Angekua karibu ningemdunda😀😀😀😀😀😃 mmepata furaha ya muda mfupi
Pole sanaWapi member Cognizant Ni mwanachma lialia wa Simba spot club
Objective.Hilo swala sio letu msumu huu, labda kama umechelewa kuujua uchezaji wa Simba sc msimu huu.!
Refa anazingua kapombe kafanya fauluHuyu refa [emoji34][emoji35]
Acha apige hivyo hivyo anaweza kuoteaKibu aambiwe sio lazima afunge yeye. Tunataka ushindinwa timu.
Anazingua kinomaa!Huyu refa [emoji34][emoji35]
Eeh Simba ni timu ndogo sana😀Ndo sifa ya timu ndogo
Si mmempa mechi yeye? ngojeni awafurahishe.Kibu aambiwe sio lazima afunge yeye. Tunataka ushindinwa timu.
VAR ni yamuhimu sanaTuta hilo refa kameza filimbi, kaudaka mguu kajidai kagongwa kichwa.
kawa kibonde lini, kuna dogo mlimdanganya hivi, hivi hadi leo haamini kinacho mpata dogo soppuKibu nae tangu ajue kuwa Diarra ni kibonde wake, kila nafasi anataka kupiga shuti[emoji23].