Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Refa ana mahaba binafsi na Simba hiyo iko waziRef yuko bought what is this
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa ana mahaba binafsi na Simba hiyo iko waziRef yuko bought what is this
Aingie nani?Tumfanyie sub
Pita hivi na fuvu lako Mimi sio dogo!Matusi ya nini dogo?
Basi ndio maana anawachunga sana simba. Akiguswa tu anafunikaWalishamtoa mchezoni toka waanze kumlaumu pale alipotangazwa ndiye pilato wa mechi hii.
Kwa Uchezaji huo wa Uto watalimwa kadi wote..Kuna haja ya TFF kuleta Marefa wenye ueledi wakati wa derby
Basi ndio maana anawachunga sana simba. Akiguswa tu anafunikaWalishamtoa mchezoni toka waanze kumlaumu pale alipotangazwa ndiye pilato wa mechi hii.
Huyu Arajiga ana usimbaWachezaji wa Simba hawapaswi kuguswa uwanjani ila wachezaji wa Yanga hata ukiwakamata miguu sawa kabisa
Akapumzike kwanza.Hili liko Wazi. Aliyelazimisha acheze Leo hayuko sahihi.
Nilizani naona peke yangu tu.Refa ana mahaba binafsi na Simba hiyo iko wazi
Sasa unanikasirikia mimi baada ya kumkasirikia Kibu D mkuu?Pita hivi na fuvu lako Mimi sio dogo!
Rudia tena hawajasikia.Timu kubwa wachezaji wanalindwa wasiumie
Ni kawaida ya waamuzi kuwalinda wachezaji wakubwa. Ni kanuni ambayo haipo kwenye maandishiWachezaji wa Simba hawapaswi kuguswa uwanjani ila wachezaji wa Yanga hata ukiwakamata miguu sawa kabisa
AnazinguaTimu kubwa wachezaji wanalindwa wasiumie
Ligi ya NBC kuangalia kwenye simu tofauti na Azam Max ni kipengele
Mmurike na kimwekumweku.Nilizani naona peke yangu tu.
Nakazia...Inonga ni Mshehereshaji mzuri sana.
Waamuzi wamekuja na maelekezo, dk za mwanzoni mshika kibendera alisema pacome ametoa mpira wakati mpira ulikwa ndani, Penati nayo tunanyimwa.Ana chembechembe za kuwa mshabiki wa simba sio bure