Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Penalti ya wazi refa kainyima YangaWaamuzi wamekuja na maelekezo, dk za mwanzoni mshika kibendera alisema pacome ametoa mpira wakati mpira ulikwa ndani, Penati nayo tunanyimwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penalti ya wazi refa kainyima YangaWaamuzi wamekuja na maelekezo, dk za mwanzoni mshika kibendera alisema pacome ametoa mpira wakati mpira ulikwa ndani, Penati nayo tunanyimwa.
Yanga rahisi kufungwa mipira iliyokufa ila wao kuitumia mipira hiyo kupata matokeo huwa hawawezi.Kitu ambacho Simba Sc imekuwa vizuri sikuhizi ni kutumia mipira iliyokufa, nina uhakika kama Yanga ataruhusu kona na faulo nyingi eneo hatarishi katika kipindi cha pili lazima tushudie goli.
😂Until you say it[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yeye ndo aliyeruhusu mgeni rasmi KIBU DEE MTOMBANGILE awashughulikie?Kwakuwa mna mchezaji wa 12 uwanjani 'Arajiga' lazima useme hivi, mpaka sasa yeye ndio nyota wa mchezo.
Kaupiga mwingi kwelikweli, hongereni b...
kwamba mtu akitaka kutua unashika mguu ama unasukuma asikutulie juu ya mwiliYani unaona kabisa Jitu linakuj kutua juu ya mwili then urelax tuu ..ile ilikua ni lazima afanye alichofanya na ndio mana faul ikapigwa kuelekea kwenu
[emoji23][emoji23]We ebu acha ujinga wako na TECNO yako
VAR inabidi iletwe Bongo, japo ni gharama
Nje ya mada. We ndio huyo kwenye profile picture yako?😛😜🥰😍🤩Narudia kuangalia hapa namna goli la Simba lilivyofungwa...
Inonga walimkaba hadi siyo poa[emoji3]
Hili sina hakika, Ila tukio lile nadhani refa alijiweka nafasi isiyo sahihi ya uoni(point of view).Refa ana mahaba binafsi na Simba hiyo iko wazi
Uto mmeanza kuweweseka!! Subirini Kibu mgeni rasmi awakande vizuri!! Saizi yenu ni Ihefu!!Refa ana mahaba binafsi na Simba hiyo iko wazi
Mashabiki wa simba ni aibu jamani, msomeni huyu, nyie mnamuelewa ?Wangekuwa wametawaliwa wangeshapigwa goli 8, sasa wamepigwa ngapi?
Ndiyo maana marefa wetu wanaishia kucheza hapa hapa Sasa ni ujinga gani Arajiga anafanya.VAR inabidi iletwe Bongo, japo ni gharama
Mbona Kayoko wanambania sana?Huyu Refa alishafungiwaga kwa ajili ya kuvurunda baadhi ya mechi msimu uliopita, nashangaa msimu huu wamemuamini tena kumpa hii derby...inasikitisha
Hapana, ameruhusu akuoe.Yeye ndo aliyeruhusu mgeni rasmi KIBU DEE MTOMBANGILE awashughulikie?
Ihamia dodoma Huku umeme Ni 24/7 hrsMatokeo wakuu huku tuliko Tanesco hawajatuacha salama
Kabisa mzee, ya pacome ilikuwa counter. Sidhani kama ni bahati mbaya sababu mbona hayo makosa hawayafanyi kuionea simba? Mara nyingi kama sio zote simba sc huwa mnufaika wa makosa ya waamuzi.Mpira wa bongo marefa ndio wanaharibu.
Yani utadhani hawalipwe vile.
Punguza ukilaza wako, sio kila mwenye hela anamiliki timu ya mpira. Elon Musk, Bill Gates wana timu??Tafuta hela uanzishe team yako utafute na kocha mzuri wewe mwenyewe.
Robetinho kaletwa na wenye hela za na ndio hao wanaweza kumtoa ama lah [emoji16]
Ya kuondoa matukio tataVAR ya nini? Si mlisema inaharibu ladha ya soka?