Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Asantreeeeee 💛💛🤸Simba 1
Yanga 2
Dakika ya 63
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asantreeeeee 💛💛🤸Simba 1
Yanga 2
Dakika ya 63
Acha kupiga kelele dogoGOOOOOOLLLL
Zile huwa zinatolewa kwenye fainali ya kombe la dunia Mkuu.Hii asisti ya aziz
Anapamba sababu Max leo game haijamkubali japo kapmfungaa.Kabla ya game ungekubali kwamba kuwa Kapombe anaweza kuipasua rejeta ya Lomalissa..?
Daima mbeleeeeee....Hii assist ya aziz key naikumbuka ile alimpigia mayele. Movement zote zinafanana
Unamtafuta ubaya CPA holder?Siangalii mpira ,vipi leo kihasibu hatuendi mpaka sasa ?
Rogeni vizuri
Siangalii mpira ,vipi leo kihasibu hatuendi mpaka sasa ?
Hakuna wa kulamiwa pale.Baleke Alikuwa Wakutoka Goli Limeanzia Kwakweee
Nimesogeza makombora zaidi ya 100 karibu na ule uzi kuwa ajili ya kutoa dozi for two consecutive days non stop mpaka ateme uji.Muhasibu wa mchongo ajiandae 😂