mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
😁😁😁😁Yani sina kifurushi basi nasikilizia dirishani na hapa Jeifu na updates kule watsup status...
Mpira utafanya tuachike huu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁Yani sina kifurushi basi nasikilizia dirishani na hapa Jeifu na updates kule watsup status...
Mpira utafanya tuachike huu....
Watu wana mioyo midogo kama punje za haradaliNaona bwashee umerudi
Hatutakiiiiii unafikiiiiiiii.Hongera sana simba sc
Huyo sio mnafiki yuko rili sana...hahahaha au kwa sbb ni mtani wangu ??? Tunajuana 🤣Hatutakiiiiii unafikiiiiiiii.
Unajistukiaaaaaaa, mfyuuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia usivunje meza mkuu ha ha haNiko sebuleni pekeangu nashangilia
Umepigaje hapaNaziona dalili zote za kusawazishiwa hilo goli.
Humjui vzur huyo, tuachie sie tunaomjua dyadyaa.Huyo sio mnafiki yuko rili sana...hahahaha au kwa sbb ni mtani wangu ??? Tunajuana [emoji1787]
WapiLitarudi😂😁
Siku tamu sana hii, ushindi dhidi ya vikaragosi wa uto na uto princes
Kwenye safu ya ushambuliaji ya Simba Sc, nadhani ndiye mchezaji anayetunyima magoli mengi sana kwa uchoyo woke.Ila Baleke mchoyo sana. Anajitafuta kwa nguvu sana
Kumbe unawajua?. Subiri wacheze na Uto wanavyojilegeza utafikiri sio hawa.Siku tamu sana hii, ushindi dhidi ya vikaragosi wa uto na uto princes
Ni kawaida kusema hivyo ...badae unajirudi huwezi kushabikia mpinzani mwanzo mwenga...ukiona mambo yanaenda ndivyo sivyo unarudi online...Humjui vzur huyo, tuachie sie tunaomjua dyadyaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nenda juu kabisa kaone alisemaje.