FT: Simba SC 2-0 Tabora United | NBC Premier League| Azam Complex | 06.05.2024

FT: Simba SC 2-0 Tabora United | NBC Premier League| Azam Complex | 06.05.2024

FT
Simba 2-0 Tabora United.

Next Kichapo ni Azam FC
 
Kanoutee Leo halali kambinii, anakuja kulala kwangu.
Kwa kazi ya leo, anahitajii mpozoo wa kushato na wa maana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kituo kinachofuata ni Azam FC.

Pale kwa Mkapa.

Tutamkanda vizuri sana
 
Toa sababu
Lile goli liliingia, wakati Tabora wanalalamika kuwa ni goli Simba tukashambulia tukafunga, jambo sahihi kabisa wachezaji wetu wamefanya kutumia nafasi.

Kiuhalali lile ni goli kwa TBora na refa angeweka kati tusingefunga la pili sababu move ya goli la pili imetokana na Tbora kuduwaa wakisubiri filimbi kuwa wamefunga,Goli lilipaswa kuwa halali ila kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa, ilivyo ni sisi Simba tumefunga goli 2 na wala haturingi maana kuna siku na sisi yataweza kutukuta na wenzetu hawataringa.
 
Lile goli liliingia, wakati Tabora wanalalamika kuwa ni goli Simba tukashambulia tukafunga, jambo sahihi kabisa wachezaji wetu wamefanya kutumia nafasi.

Kiuhalali lile ni goli kwa TBora na refa angeweka kati tusingefunga la pili sababu move ya goli la pili imetokana na Tbora kuduwaa wakisubiri filimbi kuwa wamefunga,Goli lilipaswa kuwa halali ila kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa, ilivyo ni sisi Simba tumefunga goli 2 na wala haturingi maana kuna siku na sisi yataweza kutukuta na wenzetu hawataringa.
Magoli ya Morrison hayo mbona hawakua wanalalamika?? Acha Simba wafunge sbb zitajulikana baadae.
 
Magoli ya Morrison hayo mbona hawakua wanalalamika?? Acha Simba wafunge sbb zitajulikana baadae.
Ishaisha hiyo, raha yangu ni kuwa Simba hawakuzubaa, waliwakanda katikati ya malalamiko, yaani unafiwa halafu marehemu wako anauwawa.
 
Ishaisha hiyo, raha yangu ni kuwa Simba hawakuzubaa, waliwakanda katikati ya malalamiko, yaani unafiwa halafu marehemu wako anauwawa.
Kwanini wazubae?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom