Simba wanacheza rafu tu.kama mashujaa
Refa ni wenu.Nani kavunjwa?
Tulieni dawa iwaingie.
Simba ni timu ya kizalendo sana..Watanzania 6 ndani ya kikosi cha kwanza.Kikosi cha Simba Kinachoanza.
View attachment 2982649
πLeo wanakutana pipa na mfuniko
KaogeMbona mods mmeweka 1 kwa Simba wakati walioshinda ni Tabora...?π€Έ
Anafanyaje? Tuko mbali na televishenihuyu ngoma hamna kazi π π π π π π π π π π
Mpaka mate yawaishe mdomoni...Tabora hebu kazeni huko ebooo!!
Aaah hawa tabora hebu wajikaze, au mshawakaza?πππMpaka mate yawaishe mdomoni...
akipoteza mali anacheza sana rafu atoi pasi kwa wakatiAnafanyaje? Tuko mbali na televisheni
Chochote tu ilimradi waondoke na point 3.Wakaze makalio labda πππ