Unamjua kibu d kibu denga?Teh teh teh subiri tarehe tano Aziz Ki ndio utamfahamu vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua kibu d kibu denga?Teh teh teh subiri tarehe tano Aziz Ki ndio utamfahamu vizuri.
Mwanzo mlienda wapi🤣🤣Tumekuja wenyewe wenye uziii mtupishe tujinafasi sasa
🤣🤣🤣🤣Pira la kikomavu sio la kuremba..
Jamaa fundiHuyu Phiri huyu anakaa na magoli kwny benchi
Unakula 3 siku hiyo sevu hiiYanga wasifikiri mpira wanaocheza leo Simba na tarehe 5 utachezwa hiyo hivyo. Hamtaamini. Mtachezewa mpira kama wa Al Ahly
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wakati huo wewe ushakula 5 kama kipindi kile. Save hiiUnakula 3 siku hiyo sevu hii
Saidoo na kocha wana ajenda zao ambazo kimpira ni ngumu sana kuelezeka.Sasa Baleke anatokaje anabaki Saido..
Huyu coach huyu
[emoji1787] unabwabwaja tuYanga wasifikiri mpira wanaocheza leo Simba na tarehe 5 utachezwa hiyo hivyo. Hamtaamini. Mtachezewa mpira kama wa Al Ahly
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sawa koloWakati huo wewe ushakula 5 kama kipindi kile. Save hii
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hilo swala la 3B hamkulielewa wakati linazungumzwa na Mo, nadhani ni kwasababu wenye huo uwezo ni wawili tu huko Utopolo.Mbona mnakata tamaa mapema sana? Sasa Ayubu mlimsajili wa kazi gani kwa bilioni Tatu halafu anakaa benchi?
Hajielewi[emoji1787] unabwabwaja tu
Yaani kuongea aongee Mwamedi halafu wewe mbumbumbu uje ututafsirie?Hilo swala la 3B hamkulielewa wakati linazungumzwa na Mo, nadhani ni kwasababu wenye huo uwezo ni wawili tu huko Utopolo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka msimamoUtopolo tumewalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]View attachment 2795953