Arajiga haongekiRefA leo hajapewa bahasha
Naona kuna gori lingine kwa azamArajiga haongeki
Wamekukosea nini?Siwapendi Simba! Wakifungwa mimi roho katuuu☺️
Wewe sio wakukaja pole mwaisaNi nini hii mkuu, au ubaya ubwela?
Kwa jinsi beki ya simba inavyocheza naona simba akipigwa 4Ngoma inaenda 1-1 hiyo!
Siku nyingi tu nimeshajitoa kushabikia huo ujinga unaoitwa nbc sijui
Utajiju...!!Siku nyingi tu nimeshajitoa kushabikia huo ujinga unaoitwa nbc sijui