FT: Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

FT: Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

Huyu kipa kila mpira anaojaribu kuucheza na mguu unatinga kwenye nyavu, kwani simba hakuna kocha wa magolikipa? Eneo la goal keeping simba makipa wanafanya makosa yanayojirudia yanayoigharimu timu mara kwa mara, timu inatakiwa kushughulikia jambo hilo bila hivyo ubingwa utapeperuka tena
 
Huyu kipa kila mpira anaojaribu kuucheza na mguu unatinga kwenye nyavu, kwani simba hakuna kocha wa magolikipa? Eneo la goal keeping simba makipa wanafanya makosa yanayojirudia yanayoigharimu timu mara kwa mara, timu inatakiwa kushughulikia jambo hilo bila hivyo ubingwa utapeperuka tena

Mbona vilio..
Mkiongoza ligi ...ubingwa mnautaka
Mkitoka droo ....mnatengeneza timu

😂😂😂😂
 
Tofauti ya wachezaji wa Simba Sc na yanga ni kwamba yanga wakipoteza mechi wanatafuta walipokosea na mechi zinazo fuata wanakuja wakiwa wamebadilika lakini wa wachezaji wa simba huwa hawabadiliki hata baada ya kupoteza mchezo ulio pita.
Uongo huo.
Mbona mlipofungwa na Azam mechi iliyofuata mkala chuma 3 na nyuki wa Tabora.
Au ile haikuwa yanga
 
Wewe subiri tucheze kiporo chetu...halafu kwamba nyie ni malaika hamtapoteza ee?? Najua hamtapoteza kwny tawi lenu mwanza kule ijumaa...then?

Mkicheza kiporo hata mkishinda bado tunawazidi point 1.....Kama mmeshindwa kumfunga Azam basi huko mbele mtapoteza sana ,sisi mechi ikianza yaani tunaanza na 5 mkononi ,opponent anapambana ili asitoke bila goli.
 
Back
Top Bottom