Nikiwa kama shabiki kindakindaki tena lialia wa mbumbumbu efusii, naomba Leo nikiri kwa maandishi yangu kwamba sisi Simba sipoti kilabu ni mchelemchele. Ndio !!,
Namaanisha kuanzia benchi la ufundi , viongozi ,wanachama na mpakaa sisi mashabiki maandazi wa mbumbumbu efusii sote hatuna akili .
sisi ni nimatahira na akili zetu ni sawa na akili za abudala kichwa wazi au mwajuma Tako moja.
Wachezaji wetu tunawasifia sana lakini uwezo wao ni duni , wanapapara utasema wanapigia nyeto bafuni..Mfano mchezaji kama ateba kavimba mwili kama bumunda la jero ila akili kisoda , jitu linakimbia upande upande utasema tembo kajinyea .
Kwa Simba sc hii , Dar Young Africa, the club above all itaendelea kutupapasa na kutupelekea moto mpaka maji tuite mmaa!!