GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Oyaawe utani gani wa kupigana Shaba huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaawe utani gani wa kupigana Shaba huu?
Yaani. 😂😂Yan pale azam ndio hawajakaza,kwa ile defence ya makolo hiyo march 8 naiona mbali sana 😀
Kwa mwiko nyuma tarehe 8Simba atapata kwa nani points 3 alizo drop leo? Hopeless simba
Bila uchawi na msaada wa marefa makolo saa hizi wangekua nafasi ya 9 au 10Yaani. 😂😂
Watatafutana wasionane.
Kabla ya kuja GSM Ubingwa aliochukua Yanga hadi kuwazidi Makolo nani alikuwa anaidhamini?Timu imewekewa mazingira ya uhakika point 24 halafu unasema kuna timu?. Simba inatoa jasho kila mechi tunawapongeza . Madhara yake hata kama wanajifanya hawaoni . Kimataifa ni mdebwedo🤓
🙄🙄Mnyama 3-0 ice cream
Narudia tena. Wewe ni fedheha kwa Waislamu.Mnaoshabikia mpira mnajitia presha tu, muislam unatakiwa ukeshe ktk ijitimai badala viwanja vya mpira
😃😃😃Aisee hakuna timu pale, wachezaji wanacheza kama wameshindia mlenda
Kacheze wewe na mapumbu yako kama ya nyaniAisee hakuna timu pale, wachezaji wanacheza kama wameshindia mlenda
Leo umefurahi ..utaitoa yote naonaWazee wa penalti. [emoji23][emoji23][emoji23]
Walipata Aziz Kii alikosaKama rahisi ungepata hapa View attachment 3248200
Mbumbumbu mama'ako anayetolewa maji muda huu.Tulia mbumbumbu wewe
Ahaaaaa Simba bhana aaaaSimba SC VS Azam FC
| NBC Premier League
| Benjamin Mkapa
| 24 Februari, 2025
| Saa 1:00 Usiku.
Wafungaji wa magoli
Simba > Elie Mpanzu dakika, 25
Abdulrazak Hamza dakika, 76
Azam FC > Gibril Sillah. Dakika, 1
Zidane Sereri. Dakika,88