Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
My dear habari iliyopo wazee wa ubaya ubwela wamediroo huko. πKuna habari gani hapa? Kuna muda wadogo nao wanawabania kaka zao.
Draw inanoga π π π π π π
Kwisha habari yao watu wanacheeeeeeeeka balaaaaaa πππππ½π½π½Kwani wanacheza dakika 120?
ππHuyu refa msenge watu wanashambulia anamaliza mpira inafanya ionekane tunabebwa mbwa sana.
Si unaona mpira umeisha wakati tunashambuliwa?πππndioo alaf nataka mmoja wa costal anawe tupewe penalt
Kabeeesa tupo nyuma yao. πcosto msituangushe jamani...
WoyooooooooooooooKwisha habari yao watu wanacheeeeeeeeka balaaaaaa πππππ½π½π½
Ionekane vipi na ndio kweli hiyoHuyu refa msenge watu wanashambulia anamaliza mpira inafanya ionekane tunabebwa mbwa sana.
Refaaa kawasaidia paleeeSare.
Hatujapoteza