Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mpaka nduguyo anakukazia sisi ni nani tusikufunge?Sare.
Hatujapoteza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka nduguyo anakukazia sisi ni nani tusikufunge?Sare.
Hatujapoteza
Sio mbaya
Bila kunisahau na mimi Mkuu. 😅😅Kwisha habari yao watu wanacheeeeeeeeka balaaaaaa 😆😆😆😆🐽🐽🐽
Refa ni man of the match kwa upande wa 5imba.Refaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Refaaa kaona isiwe tabu amalize mpira maan lilikua linapigwa la 3Nasikia makelele kwa jirani, kwani kuna nini huko leo..😇
Nauliza tu sio kwa ubaya
Kuwa mkweli Mtani yaani watu wanatokea nyuma na kuscore goli mbili halafu unasema sio mbaya.Sio mbaya
Ngapi ngapi hukoSawa, tunashukuru tumeona goli la bahasha hapa.
when time is overHili la kumaliza mpira hali ya kuwa shambulio linaenda kufanyika imekaaje kitaalam, mnaojua mpira mtusaidie
Hivi inaruhusiwa au ndo hivyo tenaRefaaa kaona isiwe tabu amalize mpira maan lilikua linapigwa la 3