Sio haijaisha mpaka iishe?....??Imeisha hiyooo...ππππ
Imeisha sare ya 2:2 sioπ€£π€£π€£Imeisha hiyooo...ππππ
Eeee yani imeshaisha imebakia kuchezwa tuu..Sio haijaisha mpaka iishe?....??
Mbona nyie mlifumuliwa na Ihefu na Azam...kwani matokeo yalibaki hivyo hivyoImeisha sare ya 2:2 sioπ€£π€£π€£
Ipo wazi kama ya mbuziJiandaeni kuchukua kono lenu.....
Nilikuwa mbali kabisa na simu...sasa nimekaa kitako...wasemaje?Eeee yani imeshaisha imebakia kuchezwa tuu..
Hapana lakini we have vision na tuna uhakika na ushindi kwa 99.9% tofauti na KolozMbona nyie mlifumuliwa na Ihefu na Azam...kwani matokeo yalibaki hivyo hivyo
...ππππππ
Wakiwazodoaga chadema mnaonaga ni sawa ila kwa simba mnalalamika
ππ€£ππ Pole iende kwa wachezaji mtani, ndicho wameamua kutupatiaππ€£.π€£π€£π€£ Pole sana Mtani.
Hawajataka muishi kwa raha kuelekea tarehe 19 mtani. π€£π€£ππ€£ππ Pole iende kwa wachezaji mtani, ndicho wameamua kutupatiaππ€£.
π€£π€£ππππ ππ Haya ni nusu,Hawajataka muishi kwa raha kuelekea tarehe 19 mtani. π€£π€£
Yaani ni majonzi ambayo yatakutana na majonzi mengine. Lol.