Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za kushinda? Mmeshinda salama??Tunashinda
Kwani wapi tumeyumba....bado tupo vzr msimamo unasemaje miss EvaaaDah!!! Umesema uko wapi.....😹
Haya simba laleni mmepewa pumziko.Tuache wapumzike jamani
Pole sana. Kwa ushabiki wa aina hii siyo mzuri kwa afya yako.Yaani hata Refa alikosa imani na Camara alipoona jamaa wanaenda tena kumsalimia akaona isiwe tabu.Ile ingekuwa inaelekea coast walahi asingekatisha.
Makipa wazuri pia kukosea...Camara alikuwa anawaza Nini leo?
Zimekuwa za pande zoteNne tumeziona mzee baba ....
It will come around as it goes...Habari za kushinda? Mmeshinda salama??
Sijui kizungu mie, unamaanisha nini kwani.....It will come around as it goes...
Itarudi kama ilivyoenda!! October 19Sijui kizungu mie, unamaanisha nini kwani.....
Jiandaeni kuchukua kono lenu.....Itarudi kama ilivyoenda!! October 19
Jana ule ulikuwa mtegoJiandaeni kuchukua kono lenu.....
Hadi nimecheka. Hii mambo ina usalama kweli? 🤣Dada mambo
Nakazia hivi sisi na wao si ni mwezi huu?Jiandaeni kuchukua kono lenu.....
😅😅😅Nne tumeziona mzee baba ....
Yap tarehe 19 hiyo, tuwaandalie bango lao kabisa mapema....Nakazia hivi sisi na wao si ni mwezi huu?
Atii?Mbona kelele mingi..? Kumbe tumedroo tuu...
Tulieni jishikilieni vzr msitingishike...
Simba Bingwa....
Imeisha hiyooo...😀😀😀😀Atii?