FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Ubingwa wao ni kuifunga Azam goals za offsideToka mwanzo huwa nasema simba ni mbovu bado, Usajili wa bei nafuu, huyu kocha hamalizi msimu watamtoa kafala mapema sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubingwa wao ni kuifunga Azam goals za offsideToka mwanzo huwa nasema simba ni mbovu bado, Usajili wa bei nafuu, huyu kocha hamalizi msimu watamtoa kafala mapema sana.
Dada mamboKuwa mkweli Mtani yaani watu wanatokea nyuma na kuscore goli mbili halafu unasema sio mbaya.
Acha utani banaa. [emoji28]
Imekuwa kama ulivyotamani iwe na itakuwa kama ulivyotamani mechi ijayo.Hii wanatakiwa Watoe droo; halafu ijayo wafungwe; Hapo ndipo ligi itaanza kuchangamka Rasmi!
Kila la heri coastal union, you are in my prayers!
Imekuwa kama ulivyotamani iwe na itakuwa kama ulivyotamani mechi ijayo.
Ongea mwananchiKumbe ndio maana makolo jana wamepiga kelele juu ya Pamba ilikuwa ni kutupumbaza tusiongelee wao leo kucheza na toto lao?
Nimerudi kuangalia hizi comentsSimba ya sasa ni kama Man city huna hofu yaniii...hofu wanakua nayo hao wa chini wanaokanyagwa hapo kwny msimamo...😃😃😃😃
Sas Uto wameshindwa kupiga jana sita jamaani golikip alikua anaawachia tuu mwaaa
Pia na mnara mrefu.Coastal union wajengewe sanamu.
Wanaanza kufarakana mapeeemaaa kabla hapajakucha.Bado hamuamin kama mmekaziwa? 🤣🤣.
Kubalini tubyaishe msonge mbele
Hapana wanafadhiliwa na MOO.Hivi WAGOSI WA KAYA wanafadhiliwa na GSM?
Achana nao kabisa.Leo wala sisemi tatizo liko wapi kwani kila nikiwaambia Simba SC kuna matatizo makubwa mnaona nina Chuki binafsi.
Ngapi hukooo?Unasema?
Hata ulaya ipo. Team zinazokutana na Man City zinaomba uwanja wa mazoezi Man utd au Wigan. Na timu zikikutana na Asernal wapo Tottenham, Fulham na wengine na wakikutana na Liverpool wanaomba uwanja kwa Everton. Kote huko kunakuwa hakuna maneneno ya kwamba team fulani inapokea wageni.KWELI KABISA MAANA UTOPOLO WANACHUKIA MAFANIKIO YA SIMBA MPAKA TUKICHEZA NA WAGENI WAO WANAENDA KUWAPOKEA NA KUWASHANGILIA KABISA.
Na yangekuwa na utata hata mdogo refa angeyakataa kwa nderemo na vifijoNilichopenda kuhusu magoli ya Coastal ni kuwa hayana utata hata kidogo.
Dah!!! Umesema uko wapi.....😹Simba ya sasa ni kama Man city huna hofu yaniii...hofu wanakua nayo hao wa chini wanaokanyagwa hapo kwny msimamo...😃😃😃😃
Ipo ni YangaMashabiki wa mpira tabu sana kwahyo mnataka timu kila siku iwe inashinda tu ? Hakuna timu ya hivyo Duniani
Nne tumeziona mzee baba ....
Acha wajichanganye hakaf wakutane na watani wao wachanganywe zaid.Wanaanza kufarakana mapeeemaaa kabla hapajakucha.
Apia.....Hakuna timu ya kuifunga Simba kwenye ligi msimu huu.
Labda itokee red card etc.