Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Kwa sababu kocha na Spider ni wapumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha makala mzee wa zengweLeo wala sisemi tatizo liko wapi kwani kila nikiwaambia Simba SC kuna matatizo makubwa mnaona nina Chuki binafsi.
Bado haujaelewa mkuu, mimi sio 5imbaYan nimekuelewa mpaka kupitiliza mkuu..saikolojia inaonesha waz wewe ni simba na umeumizwa sana kias kwamba umejiulza maswali na umekosa majibu😂😂
Umenielewa vyema!Aende akataarishe chakula na kumuogesha mdogo wake mapema
Alimtoa Debora mapema ili aende akapike chakula cha jioni mama anamwita
We jamaa kama mtabiri hiiiiviiiiiiHii wanatakiwa Watoe droo; halafu ijayo wafungwe; Hapo ndipo ligi itaanza kuchangamka Rasmi!
Kila la heri coastal union, you are in my prayers!
Man city ya bunju 🤣🤣🤣🤣Man citySimba ya sasa ni kama Man city huna hofu yaniii...hofu wanakua nayo hao wa chini wanaokanyagwa hapo kwny msimamo...😃😃😃😃
3.5 imetoa ✅Leo ni goli 4 kuendelea...
Ubaya ubwela...
Tunautaka ubingwa....
Ubingwa ni wa Yanga; kama mnautaka kwa ajili ya sherehe zenu, nendeni mkauazime kutoka Yanga japo kwa siku mbili tu.Leo ni goli 4 kuendelea...
Ubaya ubwela...
Tunautaka ubingwa....
Kwahiyo wameongea uongo?
Wewe acha basiMsiwe na haraka kila mtu atafungwa na simba[emoji881],ni swala la muda tu zamu yako itafika.
Coastal ni moto ujueMpaka sasa simba hii mechi ishakua rahisi kwao muda mwingi wanapasiana kama mazoezi
Umewaonaje?Hawa coast wakaze isijeonekana wanatuachia...