FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

Kwaio mnashindana kuanzia nyuzi za live updates?
Inakuwaje unaanzisha Uzi wakati tayari upo na ushapata wachangiaji wakutosha?? Au ndio akili za kimbumbumbu hizi
 
Kcha anawaangalia wachezaji!
Nimeona kipindi cha kwanza chote live baina ya CSKA VS Simba, kama Simba beki Mohamed Quattara ameendelea vile vile kuonyesha uzembe anapocheza nafasi ya ulinzi, kibaya zaid kapangwa na Onyango, wote hawana akili, nguvu nyingi maarifa kidogo.

Kocha Robertinho ananitia wasiwasi, kiungo Erasto Nyoni hajacheza takriban mechi 15 pale Simba, amekuwa akisugua benchi sana na wakati mwingine tulibashiri anapelekwa kwa mkopo, Leo kaanza kiungo wa chini kwa timu ambayo ukubwa wake kila mtu anaujua.

Nina wasiwasi sana huyu kocha time will tell

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Kakudanganya nani? Hapo ndio wachezaji wanajiona si lolote si chochote, mechi ya kwanza mmefungwa na timu dhaifu inayoshika mkia, leo mpo na Warusi mnapigwa nyingi, halafu Mbeya city wanapakia vumbi kabisa wapige kwenye mshono.
Inaweza ikawa ni timu ndogo EAU lakini ukija kufanya comparison kwa hapa bongo huwezi kuiweka nafasi sawa na Ihefu iliyomfunga Yanga

Na pengine ikawa on top hata kwa timu kubwa za hapa home ni kwasababu tu hujawahi kufatilia ligi ya huko ukapima ushindani wake unafanana sawa na huu wa NBC??
 
Inaweza ikawa ni timu ndogo EAU lakini ukija kufanya comparison kwa hapa bongo huwezi kuiweka nafasi sawa na Ihefu iliyomfunga Yanga

Na pengine ikawa on top hata kwa timu kubwa za hapa home ni kwasababu tu hujawahi kufatilia ligi ya huko ukapima ushindani wake unafanana sawa na huu wa NBC??
Hata kama, yaani kigogo wa soka barani Africa aneogopwa na kina Al Ahly Wydad Zamalek anafungwa na wavaa makobazi [emoji3064][emoji3064]
 
Back
Top Bottom