babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
[emoji23][emoji23]kuaibisha nchi tuSafi sana.Simba kuna kitu watapata aijalishi watashinda au kufungwa.
Amerudi analiaa ehee, huruma anatia huruma, huruma anatia huruma umsameheee,Sawaaa
Nimeona kipindi cha kwanza chote live baina ya CSKA VS Simba, kama Simba beki Mohamed Quattara ameendelea vile vile kuonyesha uzembe anapocheza nafasi ya ulinzi, kibaya zaid kapangwa na Onyango, wote hawana akili, nguvu nyingi maarifa kidogo.
Kocha Robertinho ananitia wasiwasi, kiungo Erasto Nyoni hajacheza takriban mechi 15 pale Simba, amekuwa akisugua benchi sana na wakati mwingine tulibashiri anapelekwa kwa mkopo, Leo kaanza kiungo wa chini kwa timu ambayo ukubwa wake kila mtu anaujua.
Nina wasiwasi sana huyu kocha time will tell
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ujui mpira bwashee.[emoji23][emoji23]kuaibisha nchi tu
Ahahaaa[emoji23][emoji23]kuaibisha nchi tu
Akirudi Bongo atakuwa ni used to the maximum! Yaani ni kujipigia tu.Huyu manzi katoka kwa mwarabu kaenda kwa Putin [emoji39][emoji39][emoji39]
Inaweza ikawa ni timu ndogo EAU lakini ukija kufanya comparison kwa hapa bongo huwezi kuiweka nafasi sawa na Ihefu iliyomfunga YangaKakudanganya nani? Hapo ndio wachezaji wanajiona si lolote si chochote, mechi ya kwanza mmefungwa na timu dhaifu inayoshika mkia, leo mpo na Warusi mnapigwa nyingi, halafu Mbeya city wanapakia vumbi kabisa wapige kwenye mshono.
Weka kikosi hapa tuone kama hawa wanao cheza leoSimba iko vizuri.
Hawa CSKA mwaka juzi waliifunga Real Madrid 3-0 Bernabeau
Ni kweli ila je Wachezaji waliyoifunga Real madrid goli 3 una uhakika ndio hao waliopangwa leo?Simba iko vizuri.
Hawa CSKA mwaka juzi waliifunga Real Madrid 3-0 Bernabeau
Hata kama, yaani kigogo wa soka barani Africa aneogopwa na kina Al Ahly Wydad Zamalek anafungwa na wavaa makobazi [emoji3064][emoji3064]Inaweza ikawa ni timu ndogo EAU lakini ukija kufanya comparison kwa hapa bongo huwezi kuiweka nafasi sawa na Ihefu iliyomfunga Yanga
Na pengine ikawa on top hata kwa timu kubwa za hapa home ni kwasababu tu hujawahi kufatilia ligi ya huko ukapima ushindani wake unafanana sawa na huu wa NBC??
Ndio sababu somo la hesabu limewashinda wengi, huoni aibu?Bao la Simba ni la kizungu sana. Nimehesabu pasi 80