Ratiba imeboreshwa kidogo kutoka katika kumpangia Yanga fixture ngumu msimu uliopita Yanga ikawekwa na fixture ngumuRatiba ya Yanga ni ngumu.
26/10 Vs Coastal Union
30/10 Vs Singida Black Stars
02/11 Vs Azam.
Cheki Makolo
Leo Vs Namungo
29/10 Vs JKT Tanzania
01/11 Vs Mashujaa.
Hii ratiba sio rafiki kwa Yanga.
Sijajua kwanini hua mnatumia kejeli kwa kuwatumia mama zetu wa kitanzania ..mama zetu wa kitanzania tena wemgine wanapambana kwa ajili ya familia wamewakosea nini hadi mnawatukana kiasi hiki kisa yanga na simba.5imba level zao ni hawa kina Namungo, na ndio maana wapo shirikisho (kombe la kina mama)
Asante mtani mzuri....
Mambo ya mpira yanawafanya watu wanaropoka bila kufikiriSijajua kwanini hua mnatumia kejeli kwa kuwatumia mama zetu wa kitanzania ..mama zetu wa kitanzania tena wemgine wanapambana kwa ajili ya familia wamewakosea nini hadi mnawatukana kiasi hiki kisa yanga na simba.
Uwe unatangaza mechi zetu kila siku huwa una kismati
#nguvumoja#...
UPDATES...
VIKOSI VINAVYOANZA LEO.
updates...
DK 5'
Simba wanapata goli safi la kuongoza kupitia kwa Shomari Kapombe.
1-0
DK 10'
Game On
Simba wanamiliki ball kwa kasi kali
1-0
DK 14'
Simba wanapata free kick nje. kidogo ya lango la Namungo FC.
Anaipiga Joshua Mutale
inaokolewa na Namungo.
DK 19'
Namungo wanapata free kick inapigwa inatolewa kwa kichwa na Chemalone, unarusha unapotea
1-0
DK 23'
Awesu Awesu anapata injury kidogo
mpira ulisamama kidogo.
unaendelea sasa
1-0
DK 26'
Joshua Mutale anafanya shambulizi kal hapa.
Anakusanya kijiji kwenye lango la Namungo, ila hafanikiwibkuutia kambani.
DK 27'
Simba wanapata free kick.
1-0
DK 31'
Sub kwa Simba! anatoka Awesu aliyepata majeruhi anaingia Ahoua.
DK 33'
Goooooooooooal, Jean Charles Ahoua anaipatia Simba goal la pili.
Akipokea assist nzuri sana kutoka kwa Shomari Kapombe.
Ni Chuma cha pili.
2-0
HT
Simba 2- 0 Namungo.
=====================
Kipindi cha Pili.
DK 46'
Mpira unaendelea bado umiliki uko kwa Simba.
2-0
DK 56'
Sub kwa Simba.
Mutale Out
Mavambo Inn
DK 59'
Simba wanapata kona.
haielti madhara kwa wapinzani
DK 75'
Sub kwa Simba.
Valentino Out
Fabrice Out
Chasambi Out
Ateba Inn
Mohamed Hussein Inn
Mzamiru Inn
DK 77'
Simba wanapata Free kick nje kidogo ya Lango la Namungo inapigwa inakuwa butu.
2-0
DK 83'
Namungo wanapata kona mbili mfululizo hazileti madhara kwa Simba SC
DK 84'
Mavambooooooooo
anatia chuma ya tatu hapa.
Baada ya kupokea assist murua kabisa kutoka kwa Lionel Ateba.
Simba 3 - 0 Namungo
DK 90'
Shomari Kapombe anatangazwa Man of the Match
3-0
Full Time
Simba SC 3-0 Namungo
View attachment 3135055
Hawa mamburula walitukamia gemu za mwisho mwisho msimu uliopitaKituo kinachofuata ni JKT Tanzania.
Wajiandae tu sasa
Haya ni maneno ya Mwina kaduguda, moja kati ya Ma legendary hapo mikiani. Nimefanya copy & paste tu...Mambo ya mpira yanawafanya watu wanaropoka bila kufikiri
Pamoja sana.... hakika Mungu amefanya🙏
Huyo mtoto kaanza visa mapema 🤣🤣🙌Wapi wazee wa utopwenga...
View attachment 3135096
Simba itakuja kumwangusha Yanga, hakika hamtaamini...yaan hamtaamini ...Muda utasema mkuu5imba level zao ni hawa kina Namungo, na ndio maana wapo shirikisho (kombe la kina mama)
Watu wanatukana mama zetu aisee hata mama ake anamtukana humu kisa anaichukia simba. Mama zetu wanatubeba miez 9, wanapambana huko masokoni ama ni manesi , wengine wako kwenye mabaa kaz zenye risk, wengine ni askari wanafanya kazi wanatukanwa matusi makubwaMambo ya mpira yanawafanya watu wanaropoka bila kufikiri
Na tunaenda kulibeba Hilo Kombe Sasa.......5imba level zao ni hawa kina Namungo, na ndio maana wapo shirikisho (kombe la kina mama)
Kabisa.Uwe unatangaza mechi zetu kila siku huwa una kismati