uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
- Thread starter
- #261
Mmeumia sana majirani zetu.Mods ondoeni hiyo logo ya live game ishaisha hii
Sisi kumkanda Namungo.
Bado JKT next Tuesday, nyie si mlishindwa kuwafunga wakiwa pungufu?
Mtaujua uwezo wetu wa asili.
Sio nyie hadi msaidiwe na kina Kayoko