uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
- Thread starter
- #301
🤣🤣🤣Wapi wazee wa utopwenga...
View attachment 3135096
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Wapi wazee wa utopwenga...
View attachment 3135096
Hawajakuangusha tu.Wamekulaza.Namungo msiniangushe
Yani timu yenu inategemea kismati cha mtu wa jf, simba mna mambo sana
Simba A vs Simba B
#nguvumoja#...
UPDATES...
VIKOSI VINAVYOANZA LEO.
updates...
DK 5'
Simba wanapata goli safi la kuongoza kupitia kwa Shomari Kapombe.
1-0
DK 10'
Game On
Simba wanamiliki ball kwa kasi kali
1-0
DK 14'
Simba wanapata free kick nje. kidogo ya lango la Namungo FC.
Anaipiga Joshua Mutale
inaokolewa na Namungo.
DK 19'
Namungo wanapata free kick inapigwa inatolewa kwa kichwa na Chemalone, unarusha unapotea
1-0
DK 23'
Awesu Awesu anapata injury kidogo
mpira ulisamama kidogo.
unaendelea sasa
1-0
DK 26'
Joshua Mutale anafanya shambulizi kal hapa.
Anakusanya kijiji kwenye lango la Namungo, ila hafanikiwibkuutia kambani.
DK 27'
Simba wanapata free kick.
1-0
DK 31'
Sub kwa Simba! anatoka Awesu aliyepata majeruhi anaingia Ahoua.
DK 33'
Goooooooooooal, Jean Charles Ahoua anaipatia Simba goal la pili.
Akipokea assist nzuri sana kutoka kwa Shomari Kapombe.
Ni Chuma cha pili.
2-0
HT
Simba 2- 0 Namungo.
=====================
Kipindi cha Pili.
DK 46'
Mpira unaendelea bado umiliki uko kwa Simba.
2-0
DK 56'
Sub kwa Simba.
Mutale Out
Mavambo Inn
DK 59'
Simba wanapata kona.
haielti madhara kwa wapinzani
DK 75'
Sub kwa Simba.
Valentino Out
Fabrice Out
Chasambi Out
Ateba Inn
Mohamed Hussein Inn
Mzamiru Inn
DK 77'
Simba wanapata Free kick nje kidogo ya Lango la Namungo inapigwa inakuwa butu.
2-0
DK 83'
Namungo wanapata kona mbili mfululizo hazileti madhara kwa Simba SC
DK 84'
Mavambooooooooo
anatia chuma ya tatu hapa.
Baada ya kupokea assist murua kabisa kutoka kwa Lionel Ateba.
Simba 3 - 0 Namungo
DK 90'
Shomari Kapombe anatangazwa Man of the Match
3-0
Full Time
Simba SC 3-0 Namungo
View attachment 3135055
kipindi cha tatu kimeanza zinaweza fikaNilisema leo kuna 4+ hapa
Msimu uliopita zile medali mlipewa shirikisho au wapi?5imba level zao ni hawa kina Namungo, na ndio maana wapo shirikisho (kombe la kina mama)
Wewe mwenyewe uliliewa huko kwny hilo kombe tena mlikua mnainusa club bingwa kwa mbaliiiHaya ni maneno ya Mwina kaduguda, moja kati ya Ma legendary hapo mikiani. Nimefanya copy & paste tu...
Kwa hiyo wewe umeshikiwa akili, ukiambiwa jamba unajamba tuHaya ni maneno ya Mwina kaduguda, moja kati ya Ma legendary hapo mikiani. Nimefanya copy & paste tu...
Hilo unalosema nilishawahi kulihoji humu wakati fulaniWatu wanatukana mama zetu aisee hata mama ake anamtukana humu kisa anaichukia simba. Mama zetu wanatubeba miez 9, wanapambana huko masokoni ama ni manesi , wengine wako kwenye mabaa kaz zenye risk, wengine ni askari wanafanya kazi wanatukanwa matusi makubwa
Mtasubili sana.... Yanga ni lidude fulani likuuubwaSimba itakuja kumwangusha Yanga, hakika hamtaamini...yaan hamtaamini ...Muda utasema mkuu
Nothing is permanent
We unaota kumbe. Bado unawenge la kipigo cha tarehe 19 etiNa tunaenda kulibeba Hilo Kombe Sasa.......
Mbumbumbu zinasapotianaYou are very correct [emoji817]
Yani unatukana na kuwakejeli akina mama zetu wa kitanzania sababu ya kuichukia simba?Mbumbumbu zinasapotiana
5imba level zao ni hawa kina Namungo, na ndio maana wapo shirikisho (kombe la kina mama)
We unaota kumbe. Bado unawenge la kipigo cha tarehe 19 eti
💯Speed inatakiwa ianzishwe na mabeki. Kama mabeki wanapenda kukaa na mipira, kupasiana pasi zisizo na maana na kurudisha mipira nyuma inayotakiwa kwenda mbele, washambuliaji na viungo nao lazima watapoa tu.
🤣🤣🤣🤣Uzi wa Mnyama cha ajabu uto mmejaa na dua zenu za kichawi.Mgunda leo utatusamehe,si unajua tena ukitaka kumuua Nyani....