Kafumwa anachekea chooni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yes,,,, thalatha bin sulfur, kwa matokeo haya hata yule spy wetu tuliyemtuma kazi pale panapojaaga maji msimu wa masika ,nae bila shaka atakuwa amefurahi
Hakuna timu iliyofungwa na uto Mara nyingi zaidi ya Simba,Mara zote hizi ni uchawi!?..Simba hawalogi!?Uto wachawi , watamfunga miguu morison
Labda itokee suprise kama ya kigoma
Wlimsahau lwanga akawanyoosha
Na haya ndy mafanikio ya uto. Haya popote ulipo jipige kifua sema "mimi ni uto"Hakuna timu iliyofungwa na uto Mara nyingi zaidi ya Simba,Mara zote hizi ni uchawi!?..Simba hawalogi!?
Luc alikuwa sahihi kuwafananisha washabiki wa Yanga na nyani,wewe ndiye huyo aliyetoa ulimi hapo hapoUyu wa sasa ni simba wa kibisa hana meno zaidi ya kutegemea chupli chupli ili ashinde mechi zake
HakikaBora tulitolewa klabu BINGWA tukamfukuza Gomes ,tungempataje Pablo ,Simba anaenda kuwa BINGWA kombe la shirikisho
Hata tetesi za Morrison zilianza hivi hivi kama za Aucho πππHata ile mechi yenu na wale wabotwana ilikuwa hivi hivi first leg
Ushabiki wa bongo raha sana...huyo msemaji wa hiyo kauli anajiita zidane, mzee wa pasi milioni [emoji1787][emoji1787]"kabla ya mechi nilipata bahati ya kuzungumza na kocha akanieleza kuwa ana mpango wa kuwapeleka wachezaji coco beach, nikajiuliza coco beach wanaenda kufanya nini, basi nikaona isiwe tabu na mimi nikawatimbia pale coco hamadi! nawakuta wapo kati kati ya bahari wanacheza mpira" - alisikika shabiki mmoja wa mnyama
Haki ya nani nimecheka sana leo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] kumbe na wewe ulimsikia mkuu ..Ushabiki wa bongo raha sana...huyo msemaji wa hiyo kauli anajiita zidane, mzee wa pasi milioni [emoji1787][emoji1787]
Haswaaa [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] kumbe na wewe ulimsikia mkuu ..