FT | Simba SC 3-0 TMA Stars | March 11, 2025 | 04:00p.m | KMC Complex

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Leo saa 10:00 jioni, Simba SC dimba la KMC Complex wanawakaribisha TMA Stars.




Updates...

Mechi imeaanza
  • Dakika ya 14 milango bando ni migumu
  • Dakika ya 16 Valentino Nouma anaitanguliza Simba kwa mpira wa Free Kick (Simba 1 - 0 TMA)
  • Dakika ya 19 TMA Wanajifunga Sixtus Sabilo OG (Simba 2 - 0 TMA)
  • Dakika ya 24 kipa wa TMA anapangua shuti kali na la moto kutoa kwa Debrah Fernandez Mavambo
  • Half Time Simba 2 - 0 TMA
  • Kipindi cha pili kimeanza
  • Goooal Ateba anafunga goli la 3
 
Nimeangalia kikosi kinachoanza na wale wa akiba sijaona jina la camara na che Malone kuna kitu nimeamini
Kuna watu watakupinga. Ila ukweli ndiyo huu. Sababu ya makomandoo ilikuwa ni kisingizio tu cha kuiepusha timu kudhalilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…