Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Exactly 💯 😂 😂 😁Umeona tunavyocheza?
Kwanza huyu refa ni wetu na anamaelekezo maalumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly 💯 😂 😂 😁Umeona tunavyocheza?
Kwanza huyu refa ni wetu na anamaelekezo maalumu
Nilikuwa nakuona wa maana kumbe na wewe una kichwa kama ya Labani og 😎Ni Tatu Malogo tu na yule Smart aliyechezesha mechi dhidi ya Namungo. Wakichezesha hawa waamuzi wetu wawili, ushindi ni 💯%
Upo sahihi Mr 🐸Hii game naiangalia,
Mimi kama shabiki wa Simba, tulistahili kabisa kukimbia tarehe 8.
Tungepigwa kama ngoma.
Kuna mtangazaji mmoja kwenye Wasafi Tv alisema za ndaaani kabisa Simba hawako fiti ndio maana wakatafuta namna ya kukimbia mechi. Hapa ndio naanza kuaminiHii game naiangalia,
Mimi kama shabiki wa Simba, tulistahili kabisa kukimbia tarehe 8.
Tungepigwa kama ngoma.
Hata kama ni ndondo cup ndo mod wasiweke matokeo kwa ubao wao hapa?Ni dakika ya 60 sasa bado Simba tunaongoza kwa 2-0.
Kuangalia mechi zote, sio Simba tu. Kwani hamna kazi za uzalishaji mali?Kuangalia mechi za Simba ni Umama,mwanaume lijali huweziii poteza dk 100 unakodolea watuuzi makolo wenge akili 2.
Nitakufanyia mpango uwe mod hapa jf mkuu upo active sana kutupatia matokeoNi dakika ya 70 sasa bado matokeo ni 2-0, simba wanaongoza.
Wewe mwehu utopolo tuu kama mchomeHii game naiangalia,
Mimi kama shabiki wa Simba, tulistahili kabisa kukimbia tarehe 8.
Tungepigwa kama ngoma.
Hicho kikosi kikikutana na MC Alger anakula tatu mtungi!!Mnafurahi wenyewe kukimbia wanetu kwa kikosi hiki HT ulikuwa unakula 4 😀 na kuendelea
Kitenge?Kuna mtangazaji mmoja kwenye Wasafi Tv alisema za ndaaani kabisa Simba hawako fiti ndio maana wakatafuta namna ya kukimbia mechi. Hapa ndio naanza kuamini
Na Yanga SC je ?Hicho kikosi kikikutana na MC Alger anakula tatu mtungi!!
Sio kitengeKitenge?
Sasa kama mliyetoa naye draw ale 3 si ni rahisi tu kujua na hao unaowaulizia!?Na Yanga SC je ?
Kina nani mwanetuSasa kama mliyetoa naye draw ale 3 si ni rahisi tu kujua na hao unaowaulizia!?