denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hii kazi huiwezi, kalime matikiti unaweza kuvuna[emoji3][emoji3]Singida big [emoji93] 2-1Simba[emoji190]. Nimekaa paleeeee [emoji117][emoji117]🪑
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kazi huiwezi, kalime matikiti unaweza kuvuna[emoji3][emoji3]Singida big [emoji93] 2-1Simba[emoji190]. Nimekaa paleeeee [emoji117][emoji117]🪑
Watapigika vibaya mnoHawa ndugu zao Uto wadogo sana kwetu
Acha kulialia wewe mbu3. Refa Yuko Fair sana, Tena Simba wangeshakuwa pungufu muda mrefu sanaHuyu refa huu mpira atauharibu tu. Amekuja na matokeo yake
Hilo lipo waziGame inaisha 4 kwa moya
Endelea kunywa mayi ya rangiAcha kulialia wewe mbu3. Refa Yuko Fair sana, Tena Simba wangeshakuwa pungufu muda mrefu sana
Na yakiiva anitafuteHii kazi huiwezi, kalime matikiti unaweza kuvuna[emoji3][emoji3]
Hukuona Kanoute alivyovutwa ndani ya boxAcha kulialia wewe mbu3. Refa Yuko Fair sana, Tena Simba wangeshakuwa pungufu muda mrefu sana
Bora umuungishe, utabiri mjini mgumu[emoji3][emoji3]Na yakiiva anitafute
We nae[emoji23][emoji23] izo 4 mnazifungia wapi? Mkihurumiwa sana nyie ndio mtapigwa 4-2Game inaisha 4 kwa moya
Yenye kilo tatu buku mbili jero ya kilo 1 mia 700Bora umuungishe, utabiri mjini mgumu[emoji3][emoji3]
Wewe kweli ni bwaksi.We nae[emoji23][emoji23] izo 4 mnazifungia wapi? Mkihurumiwa sana nyie ndio mtapigwa 4-2
KufanyajeSimba Tumechoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua tapeli wenu Mwamed Dewji ndo huwa hawezi kutamka maneno vizuri kama unavyomuigizaJambo lingine ambalo linahitaji kufanyiwa kazi ni pasi zisizo na umuhimu. Simba wanacheza pasi nyingine hazina umuhimu. Pasi za kimkakati ndio muhimu na wasijisahau.