FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

Tukubali tukatae simba hatuna viungo 6 na 8... Mzamiru kapwaya siku hizi.. Hii ni ya ngapi sijui wapinzani wanatawala wao mechi. Jana saido alijaribu kushuka chini kusaidia saidia.. Matokeo tunapata lakini mchezo hatuchezi vizuri.

Jioni simba ilicheza samba, lakini ile ilichangiwa na vitu viwili.
Kwanza mpinzani ashajikatia tamaa dk za nyongeza anaongozwa 3-1
Pili, chama na kina saido walishuka tucheze, hatukuwa tukitafuta goli tena, chama alishuka kabisa kusambaza upendo alichokuwa anakifanya chama ndio mzamiru anapaswa kufanya.
 
Tukubali tukatae simba hatuna viungo 6 na 8... Mzamiru kapwaya siku hizi.. Hii ni ya ngapi sijui wapinzani wanatawala wao mechi. Jana saido alijaribu kushuka chini kusaidia saidia.. Matokeo tunapata lakini mchezo hatuchezi vizuri.

Jioni simba ilicheza samba, lakini ile ilichangiwa na vitu viwili.
Kwanza mpinzani ashajikatia tamaa dk za nyongeza anaongozwa 3-1
Pili, chama na kina saido walishuka tucheze, hatukuwa tukitafuta goli tena, chama alishuka kabisa kusambaza upendo alichokuwa anakifanya chama ndio mzamiru anapaswa kufanya.
Simba inashambuliwa sana ingawa kule mbele kumeimarika ila kati kati pana shida.
 
Tukubali tukatae simba hatuna viungo 6 na 8... Mzamiru kapwaya siku hizi.. Hii ni ya ngapi sijui wapinzani wanatawala wao mechi. Jana saido alijaribu kushuka chini kusaidia saidia.. Matokeo tunapata lakini mchezo hatuchezi vizuri.

Jioni simba ilicheza samba, lakini ile ilichangiwa na vitu viwili.
Kwanza mpinzani ashajikatia tamaa dk za nyongeza anaongozwa 3-1
Pili, chama na kina saido walishuka tucheze, hatukuwa tukitafuta goli tena, chama alishuka kabisa kusambaza upendo alichokuwa anakifanya chama ndio mzamiru anapaswa kufanya.
Hapana kinachosababisha tushambuliwe sana ni kubadilisha pattern ya uchezaji wakati mfumo ukibaki kuwa ule ule.

Sasa hivi ukiangalia timu inavyocheza karibu wachezaji 7 wanakuwa kwenye eneo la mpinzani hivyo opponents wetu wanatumia mwanya huo kupiga long balls ambazo zinavuka mstari wetu wa pili wa ulinzi na kuangukia kwenye free spaces zinakuwa zimeachwa na fullbacks pamoja na kiungo mmoja wa ulinzi.

Pia Chama kucheza pembeni kunafanya tusiretain possession katikati na kuloose compactness yetu.
 
Tukubali tukatae simba hatuna viungo 6 na 8... Mzamiru kapwaya siku hizi.. Hii ni ya ngapi sijui wapinzani wanatawala wao mechi. Jana saido alijaribu kushuka chini kusaidia saidia.. Matokeo tunapata lakini mchezo hatuchezi vizuri.

Jioni simba ilicheza samba, lakini ile ilichangiwa na vitu viwili.
Kwanza mpinzani ashajikatia tamaa dk za nyongeza anaongozwa 3-1
Pili, chama na kina saido walishuka tucheze, hatukuwa tukitafuta goli tena, chama alishuka kabisa kusambaza upendo alichokuwa anakifanya chama ndio mzamiru anapaswa kufanya.
Walichokifanya Singida baada ya kufungwa goli la pili ni kile kile alichokifanya Mbeya City waliona spaces nyingi kwenye eneo letu la ulinzi.

Wakacommit mchezaji mmoja kuexploit free zone inayoachwa na Mshambuliaji mmoja kwenda kuwapress centerbaks wetu wakawa wakivusha mpira kwenye mstari wetu wa pili wa ulinzi wanakuwa free.

Kingine bado wacheza hawajazoea mfumo mpya wa mwalimu ndiyo maana tunasuffer sana tunapopoteza mpira tukiwa juu, tunachelewa kufanya ball recoveries wakati huo wachezaji wanakuwa hawako kwenye nafasi zao.
 
Walichokifanya Singida baada ya kufungwa goli la pili ni kile kile alichokifanya Mbeya City waliona spaces nyingi kwenye eneo letu la ulinzi.

Wakacommit mchezaji mmoja kuexploit free zone inayoachwa na Mshambuliaji mmoja kwenda kuwapress centerbaks wetu wakawa wakivusha mpira kwenye mstari wetu wa pili wa ulinzi wanakuwa free.

Kingine bado wacheza hawajazoea mfumo mpya wa mwalimu ndiyo maana tunasuffer sana tunapopoteza mpira tukiwa juu, tunachelewa kufanya ball recoveries wakati huo wachezaji wanakuwa hawako kwenye nafasi zao.
Tizama midfielder yetu inavyocheza, mzamiru anapoteza mioira mingi, siku hizi sio press resistance mzuri kama hapo awali, hakimbi sana uwanjani, muda wa kuomba moira anasimama kwa adui.

Kama inawezekana tukutane tutizame marudio, nikuoneshe mapungufu ya namba 6 na 8 yetu.
Hakuna namna nzuri ya kucheza zaidi ya kkumiliki mpira, chama na sakho ni wachezaji wazuri wakiwa na mpira, hata baleke sijaona kukaba, kutia presha kwa adui.
 
Hapana kinachosababisha tushambuliwe sana ni kubadilisha pattern ya uchezaji wakati mfumo ukibaki kuwa ule ule.

Sasa hivi ukiangalia timu inavyocheza karibu wachezaji 7 wanakuwa kwenye eneo la mpinzani hivyo opponents wetu wanatumia mwanya huo kupiga long balls ambazo zinavuka mstari wetu wa pili wa ulinzi na kuangukia kwenye free spaces zinakuwa zimeachwa na fullbacks pamoja na kiungo mmoja wa ulinzi.

Pia Chama kucheza pembeni kunafanya tusiretain possession katikati na kuloose compactness yetu.
Sasa kuloose compactness kunaanzia ndani, chama kaishawahi kucheza winga na timu ikkawa inacheza, workrate ya mzamiru imepungua. Mtizame vizuri kaka, na kanoute nae si mzuri. Wanakaba, shida kwenye kucheza.
 
Tizama midfielder yetu inavyocheza, mzamiru anapoteza mioira mingi, siku hizi sio press resistance mzuri kama hapo awali, hakimbi sana uwanjani, muda wa kuomba moira anasimama kwa adui.

Kama inawezekana tukutane tutizame marudio, nikuoneshe mapungufu ya namba 6 na 8 yetu.
Hakuna namna nzuri ya kucheza zaidi ya kkumiliki mpira, chama na sakho ni wachezaji wazuri wakiwa na mpira, hata baleke sijaona kukaba, kutia presha kwa adui.
Mchezaji hawezi kuwa press resistant leo halafu kesho akawa siyo press resistant mchezaji kuwa press resistant ni kitu natural na kinatokana na art yake ya uchezaji na uwezo wa kuabsorb press vizuri.

Kama Mzamiru mwanzo alikuwa press resistant na sasa siyo press resistant maana yake kuna badiliko la kimfumo linafanya ashindwe kupambana na pressing ya opponent.

Kinachowasumbua Simba kutoretain possession ni badiliko la pattern ya uchezaji na siyo wachezaji kutokuwa na kiwango kizuri.

It's obvious Simba haina proper CM kama alivyokuwa Bwalya lakini Simba imekuwa hivyo miaka yote na hatujawahi kuwa na tatizo la kushambuliwa hovyo hovyo kama sasa.

Probably unaconcentrate kuangalia weakness ya individual players uwanjani badala ya kuangalia mapungufu ya timu kwa ujumla wake na pattern ya uchezaji ya opponent.

Otherwise kukutana siyo rahisi tutumie tu forum hii nionyeshe hayo madhaifu ya 6 na 8 wetu.
 
Sasa kuloose compactness kunaanzia ndani, chama kaishawahi kucheza winga na timu ikkawa inacheza, workrate ya mzamiru imepungua. Mtizame vizuri kaka, na kanoute nae si mzuri. Wanakaba, shida kwenye kucheza.
Yawezekana aliwahi kucheza huko lakini kukawa na proper replacement kwenye eneo lake.

Mfano mzuri mechi yetu na FC platinum kulikuwa na Bwalya, Chama, na Luis maana yake Bwalya alicheza nafasi ya Chama na Chama akaenda kushoto.

Mechi yetu na AS Vita tulicheza kwa similar pattern kama tulivyocheza na Platinum Fc.

Mpira wa sasa siyo energy tu ni sayansi badiliko lolote kwenye style of play linaweza kumpa opponent tabu au likampa ahueni.
 
Labda nikuulize kwanini Singida walimtoa Aziz Andambwile na kuingia Ndemla ??
 
Yawezekana aliwahi kucheza huko lakini kukawa na proper replacement kwenye eneo lake.

Mfano mzuri mechi yetu na FC platinum kulikuwa na Bwalya, Chama, na Luis maana yake Bwalya alicheza nafasi ya Chama na Chama akaenda kushoto.

Mechi yetu na AS Vita tulicheza kwa similar pattern kama tulivyocheza na Platinum Fc.

Mpira wa sasa siyo energy tu ni sayansi badiliko lolote kwenye style of play linaweza kumpa opponent tabu au likampa ahueni.
 


Jana Ilikuwa Boll Itembelee, Boll Samba, Pira Biriani, Pira Dubai, Raha Tupate Woteee

 
Back
Top Bottom