Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kuwa SBS wote ni wazawaKuna dalili draw kunukiaa ila Hawa wanyaturu wanaupiga mwingi sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa SBS wote ni wazawaKuna dalili draw kunukiaa ila Hawa wanyaturu wanaupiga mwingi sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Njoo baada ya dk 90 utasema vizuri 😅Alisikika Utopolo akiwa kwenye dimbwi
Wewe uza nyanya tu huko uswekeni, sidhani kama upo kwenye nafasi nzuri ya kumuita MO tapeli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua tapeli wenu Mwamed Dewji ndo huwa hawezi kutamka maneno vizuri kama unavyomuigiza
Juzi hapa mlikuwa mnasema mnataka Pira la kushambulia, saiv aaangalie 😂😂😂.Kocha aongee na wachezaji wake, hata kama anataka soka la kushambulia ni lazima aangalie aina ya wachezaji alionao kikosini.
Tatizo la Simba Sc leo lipo kwenye fullbacks na mabeki kwa ujumla, wanapanda sana mbele kupandisha mashambulizi kitu ambacho kinawagharimu pale team inaponyang'anywa mpira, wana speed ndogo na ndio maana foul zinakuwa nyingi (muda wote wanakuwa kwenye hekaheka za kuwafukuza washambuliaji wa SBS badala ya kuwakabia mbele).
Mabeki wasitoke sana nyuma uli mashambulizi yanapokuja yawe mbele yao, sio nyuma yao.
Kama tutapoteza hii game, basi itakuwa ni kwa fouls au counters.
Mpira ninauangalia vizuri, SBS wamepata nafuu baada ya Ndemla kuingia.Hivi unaangalia mpira au unahadithiwa? Singida wanatembeza boli haswa, haya matokeo ya 2-1 hayasadifu kabisa kinachoendelea hapa uwanjani
Kaka hii game jiandaeni kisaikolojia, singida akija na moto aliomaliza nao first half mnaweza mkadondosha pointSehemu ya kushuti we unapiga chenga ili iweje?
Umesahau jinsi Singida walivyokuwa ovyo kule golini kwao. Simba pia inauwezo wa kupata goli zaidi piaMechi bado ipo wazi kwa kila timu.., ubaya kwa Simba hawana tena kikosi nje!!!, Singida wamekosa umakini vinginevyo walipaswa kuwa na goli zaidi ya 2. Simba hawana uwezo wakuizuia singida isipate gori lingine na Kanouute asipobebwa na refa lazima achukue mwekundu wake.... Nje ya kubebwa Simba hawezi shinda hii mechi... See you after 90mins
Niliongea na wewe wapi?Juzi hapa mlikuwa mnasema mnataka Pira la kushambulia, saiv aaangalie [emoji23][emoji23][emoji23].
Mbinu yao, ili wakiona maji yamezidi unga wapate kisingizio..Acheni mbwembwe zenu za kubebwa hapa...mnakuja na hoja za kubebwa ili Simba ionekane haifai au?? Simba ni simba aisee hii sio saizi ya Simba..ikishinda imeshinda...wapigieni TFF basi REFA abadilishwe kama mnaona atawabeba Simba
Tozo zitaongezwa...kausha mkuuPiga mwigilu huyoooo
Subiri awawekee Tozo hadi kwenye mwikoTozo zitaongezwa...kausha mkuu
Kubebwa hamkuanza Leo, ni kawaida yenuAcheni mbwembwe zenu za kubebwa hapa...mnakuja na hoja za kubebwa ili Simba ionekane haifai au?? Simba ni simba aisee hii sio saizi ya Simba..ikishinda imeshinda...wapigieni TFF basi REFA abadilishwe kama mnaona atawabeba Simba
Jamaa ni mkali sana yani kwa hili naungana na weweIla Bruno Gomez anapiga Free Kick mbaya sana.. Ijapo Manula anafungwa sana mipira hii ya Kutengwa.