FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

Acheni mbwembwe zenu za kubebwa hapa...mnakuja na hoja za kubebwa ili Simba ionekane haifai au?? Simba ni simba aisee hii sio saizi ya Simba..ikishinda imeshinda...wapigieni TFF basi REFA abadilishwe kama mnaona atawabeba Simba
 
Kocha aongee na wachezaji wake, hata kama anataka soka la kushambulia ni lazima aangalie aina ya wachezaji alionao kikosini.

Tatizo la Simba Sc leo lipo kwenye fullbacks na mabeki kwa ujumla, wanapanda sana mbele kupandisha mashambulizi kitu ambacho kinawagharimu pale team inaponyang'anywa mpira, wana speed ndogo na ndio maana foul zinakuwa nyingi (muda wote wanakuwa kwenye hekaheka za kuwafukuza washambuliaji wa SBS badala ya kuwakabia mbele).

Mabeki wasitoke sana nyuma uli mashambulizi yanapokuja yawe mbele yao, sio nyuma yao.

Kama tutapoteza hii game, basi itakuwa ni kwa fouls au counters.
Juzi hapa mlikuwa mnasema mnataka Pira la kushambulia, saiv aaangalie 😂😂😂.
 
Hivi unaangalia mpira au unahadithiwa? Singida wanatembeza boli haswa, haya matokeo ya 2-1 hayasadifu kabisa kinachoendelea hapa uwanjani
Mpira ninauangalia vizuri, SBS wamepata nafuu baada ya Ndemla kuingia.
 
Mechi bado ipo wazi kwa kila timu.., ubaya kwa Simba hawana tena kikosi nje!!!, Singida wamekosa umakini vinginevyo walipaswa kuwa na goli zaidi ya 2. Simba hawana uwezo wakuizuia singida isipate gori lingine na Kanouute asipobebwa na refa lazima achukue mwekundu wake.... Nje ya kubebwa Simba hawezi shinda hii mechi... See you after 90mins
Umesahau jinsi Singida walivyokuwa ovyo kule golini kwao. Simba pia inauwezo wa kupata goli zaidi pia
 
Acheni mbwembwe zenu za kubebwa hapa...mnakuja na hoja za kubebwa ili Simba ionekane haifai au?? Simba ni simba aisee hii sio saizi ya Simba..ikishinda imeshinda...wapigieni TFF basi REFA abadilishwe kama mnaona atawabeba Simba
Mbinu yao, ili wakiona maji yamezidi unga wapate kisingizio..
 
Acheni mbwembwe zenu za kubebwa hapa...mnakuja na hoja za kubebwa ili Simba ionekane haifai au?? Simba ni simba aisee hii sio saizi ya Simba..ikishinda imeshinda...wapigieni TFF basi REFA abadilishwe kama mnaona atawabeba Simba
Kubebwa hamkuanza Leo, ni kawaida yenu
 
Ila squad depth yetu inatia mashaka sana wakuu, na jaribu kuagalia kama kuna Sub yoyote inayoweza kufukia baadhi ya makosa ambayo ninayaona, ila siioni kabisa.

Au nyinyi mnaonaje?
 
Back
Top Bottom