TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Hata nyie mtacheza nazo hizo timu za ligi daraja la tatu ligi ya mkoa bila shaka.Naona Bodi ya Ligi imewapangia vibonde kwenye mechi za awali ili mpate pointi kiulaini, na pia mzoeane!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nyie mtacheza nazo hizo timu za ligi daraja la tatu ligi ya mkoa bila shaka.Naona Bodi ya Ligi imewapangia vibonde kwenye mechi za awali ili mpate pointi kiulaini, na pia mzoeane!
Hawa ni ile Singida iliyotelekezwa usitegemee makubwa kwaoLeo acha nikacheki hii game banda umiza, nione makolo wanavyopokea kipigo kizito
Nyie mnaowaza maendeleo mbona hatuoni nchi ikiwa dona kwantriiiiiWatu wanawaza mpira 24Hrs
Predictions zangu
Ndiwoooo, na haturingi wala niniiii,Timu namba saba kwa ubora barani Africa inacheza leo, let’s go [emoji881][emoji881][emoji881]
Woyoooooo!!!!Tutashinda kwa nguvu