FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024

FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024

Hii hoja yako ni dhaifu sana. Kwani hp Zalan na Vital'o walilazimishwa kuchezea viwanja vyaTanzania? Mbona mwaka jana/juzi El Mereikh ya Sudan ilichagua kuchezea Rwanda, na bado walitolewa!!
Hatukatai kuwa Yanga ingeweza kushinda kwasababu ya Quality, kwani ishafanya hivyo kule Nigeria ishafanya hivyo kule Tunis dhidi ya Club African.

Ila vilevile ku pretend kuwa hakuna favor mliyoipata kwa nyie kucheza mechi zenu hapa itabaki kuwa ni unafki.

Tunafahamu siku zote kuwa Afrika mechi yeyote ambayo mwenyeji yupo katika ardhi yake huwa inakuwa na intensity tofauti na ambavyo hiyo mechi ingechezwa eneo ambalo sio lake.

Hata mechi zetu hizi za NBC huwa tunaona hizi timu zetu mbili jinsi ambavyo zinakuwa na wakati mgumu kupata matokeo kwenye viwanja vya mikoani.
 
Aisee kisa kanyimwa PC bipolar hiii 😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 enewei hongereni Simba SC
To yeye umeona 😹😹😹
Na wale wengine ulisema wanajifanya wana misimamo kumbe wagawaji wa kimya kimya!! 🤣🤣🤣

Haya mashosti mje mjionee nikiwaambia mnajifanya nyenyee midomo mirefu km chuchunge, haya buzi lenu linawavua nguo na wengine soon mtaanikwa STAY TUNED 😹😹😹
 
Imekuuma relax eti nataka PC basi kanunue uitibu hiyo bipolar kabla
Haija kubaipolar
Ukapandwa na mizuka
Ndio maana kolo wewe
Demu mbovu sana
Nimewahi kuja pm yako? Na pc si niliomba hadharani? Kuna shida gani kichwani kwako wewe? Kwanini huwi mwanaume? Hivi huoni wanaume wenzio wanavyobehave? Ubovu wangu upi huo,je umewahi onana nami ...achana na kulala nami Kama unavyojisifu.....kuonana nami tu ishawahi tokea? Na Kama ni utani nilionao jf wa kucheka na kila mtu ulikuwa ni kosa kwangu kutaniana nawe? Tangu lini jf imekuwa ni pahala pa kushindwa kufurahi na watu au kuongea changamoto mtu aliyonayo? Unashida gani wewe wakera kilamtu? Aisee...ajabu sana
 
Back
Top Bottom