Tamu Kama Ndoa Ya Mke MmojaHii Simba ilikua wapi...
Mtatuua kwa kisukari si kwa utamu huu ..
ANakandwa muda huuNilijua tu Yanga lazima watie mikono yao kwenye hii mechi. Huyo alitakiwa apigwe hadi afe iwe fundisho
Haa Umeanza KuhahaHii timu hata wangecheza na Mashujaa wangefungwa
Kwanini Mkuu...Hii mechi kuna kitu hakipo sawa
Bado hamjasema...Hii timu hata wangecheza na Mashujaa wangefungwa
kitu najiuliza cr belouizdad alikufaje 4 , hili jambo bado najiuliza sanaUshindi wa Yanga na Simba kuna siku utachunguzwa. Hii sio kawaida wageni wanapigika hivi
Leo hapa mtampiga kuanzia mkono wa nyani hadi 7. Uzuri wenu mkipata mgonjwa mnampiga kweli.Ushindi wa Yanga na Simba kuna siku utachunguzwa. Hii sio kawaida wageni wanapigika hivi
Majini mwisho avic townAkili zenu mmewekeza kwenye ushirikina
Mtani kwema 😅😅‘Mchezo’ umeshaisha, kinachoendelea hivi sasa ni mpira.
Sasa YANGA kaingiaje hapo🤪Yanga 1
Wydad 1
Galaxy 1
Sasa kila mmoja kapata Goli moja
Dah 😅🤣🤣🤣🤣Friends of JwanengView attachment 2922390