FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Kuna uzi ulifunguliwa umu JF kua hizi timu kubwa kuna namna nje ya uwanja wanaset mambo kwanza

Mimi kama vile naamini hivi.. hizi mechi mbili za yanga na CR, Simba na galaxy hazipo kikawaida kabsaa

yaan timu pinzan zinakua ni kama zimeduwaa sio kuduwaa kuzubaa sio kuzubaaa
Kwahyo unaamini kwenye majini au
 
Kuna uzi ulifunguliwa umu JF kua hizi timu kubwa kuna namna nje ya uwanja wanaset mambo kwanza

Mimi kama vile naamini hivi.. hizi mechi mbili za yanga na CR, Simba na galaxy hazipo kikawaida kabsaa

yaan timu pinzan zinakua ni kama zimeduwaa sio kuduwaa kuzubaa sio kuzubaaa

Kwa Mkapa sasa hivi kunatakiwa kuwe machinjio ya kila anayekuja, pawe panaogopeka kama Alexandria Misri...
 
Man U akicheza hivi Man City anakufa goli nyingi

Ten hang anatakiwa achague kati ya kuiangalia Simba ili asome mbinu au ajitie kiburi atufelishe mashabiki
Simba si ndio nasikia my wa Young African,Alikubali kukojolewa bao tena kwa uvumilivu mkubwa
 

Attachments

  • 1709393318813.jpg
    1709393318813.jpg
    435.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom