ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Sawa dokta uchwaraKweli kabisa chief yaani unaweza hata ukatibu bure na usidai pesa [emoji1787][emoji1787]
πππFriends of JwanengView attachment 2922390
Yaani wana bahati sanaNa hapa tuna msiba
Kwahyo unaamini kwenye majini auKuna uzi ulifunguliwa umu JF kua hizi timu kubwa kuna namna nje ya uwanja wanaset mambo kwanza
Mimi kama vile naamini hivi.. hizi mechi mbili za yanga na CR, Simba na galaxy hazipo kikawaida kabsaa
yaan timu pinzan zinakua ni kama zimeduwaa sio kuduwaa kuzubaa sio kuzubaaa
Kuna uzi ulifunguliwa umu JF kua hizi timu kubwa kuna namna nje ya uwanja wanaset mambo kwanza
Mimi kama vile naamini hivi.. hizi mechi mbili za yanga na CR, Simba na galaxy hazipo kikawaida kabsaa
yaan timu pinzan zinakua ni kama zimeduwaa sio kuduwaa kuzubaa sio kuzubaaa
Safi sana mkuuSawa dokta uchwara
Simba si ndio nasikia my wa Young African,Alikubali kukojolewa bao tena kwa uvumilivu mkubwaMan U akicheza hivi Man City anakufa goli nyingi
Ten hang anatakiwa achague kati ya kuiangalia Simba ili asome mbinu au ajitie kiburi atufelishe mashabiki
Mashujaa πππHii timu hata wangecheza na Mashujaa wangefungwa
Safi,tanzania kupeleka timu mbili robo fainali,ni heshima kubwaKwa akili ya kawaida hilo haliwezekani.... unadhani wao hawataki zile billions za kutinga robo fainali? unadhan watauza mechi kwa bei gan bila kuangalia brand yao? Sema tu wamezidiwa baasi
ππWamepiga bom mochwari meno yote nje, hii timu sijui imetoka kijiji gani
Ila hakuna madharaNasikia kuna bomu limelipuka mochwari Mtani. πππ
Ndio best. ππMaiti zimeuwawa sio? π€£
Mbaba kama huyu Kumpaka Bleach ni Udharirishaji...!Friends of JwanengView attachment 2922390