Pamoja na kwamba Mimi ni shabiki wa Simba lakini tukifanikiwa kuingia robo fainali tusibweteke kabisa. Hii Galaxy ni daraja TU la kufikia robo fainali hakuna timu hapa. Hii galaxy haina tofauti na Gwambina FC.
Hawa dawa yao ni kuwavunjia rekodi ya CAF ya goli 8. Tupige 10 halafu Manula aingie sub kucheza kama strekaHawa wehu tuwapige saba kama horoya wanatushobokea sana hawa
Usharusha jini!! πππUsidhani viongozi wa Simba ni wajinga kumuomba msamaha Chama na Chama akaamuwa kuwasamehe.
Simba 3-0 Galaxy
Hakuna ripoti za mtu kuzimia
Zaidi kama mashabiki tumeghadhabika kwa magoli machache tuliyopata kipindi cha kwanza.
Yale mashuti mawili ya Chama yaliyogonga mwamba yamenifanya nivunje aifoni yangu ya 15 pro.
Watu wananishangaa kwanini sionekani kujali kuharibika kwa simu yangu badala yake naonekana kukasirika kipindi cha kwanza kuhitimika kwa goli chache.
Mungu Ibariki Tanzania!![emoji881][emoji881]ππππππππ[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]οΈ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#
Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.
Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki
Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?
Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?
Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.
Welcome for the show
====== ==
Timu ya Simba inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mchezo wa mwisho wa Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Dar es Salaam, leo Machi 2, 2024.
Ushindi utaifanya Simba ifuzu kuingia Robo Fainali kwa kufikisha pointi 9 hata kama Wydad itashinda dhidi ya ASEC Mimosas (imeshafuzu) na kufikisha pointi 9 pia, Simba ina faida ya kuwa na magoli mengi katika mechi baina ya timu hizo zilipokutana (head-to-head).
Aidha, Jwaneng nayo ina nafasi ya kufuzu, hilo litawezekana ikitokea imeshinda (itafikisha pointi 7) kisha Wydad ikapoteza.
Pamoja na yote ikumbukwe Jwaneng iliwahi kuiondoa Simba katika Raundi ya Pili ya michuano hiyo Msimu wa 2021/22, mchezo wa kwanza Simba ikishinda 2-0, marudio Galaxy ikashinda 3-1.
=========
Welcome for the show
KIKOSI CHA MNYAMA
View attachment 2922363
1' mechi imeanza
3' KIBU anashindwa kuwatengenezea wenzake, amepokwa mpira kwenye boksi
6' Chama ananyumbulika sio kitoto, kona ya kwanza
7' GOAL,, Saidoo assist kutoka Kwa mwamba wa Lusaka
[emoji95]Simba anazidisha mashambulizi lango la Jwaneng
12' Jwaneng wanafanya shambulizi, off target
14' GOAL, Jobeee assist ya Saidoo
15' Jobeeee, off target
21' GOAL, Kibu Denis assist ya Chama
26' Jwaneng!!! off target
28' Saidoo Ntibazonkiza yuko chini
34' Jwaneng wanapata free kick, haijazaa matunda
37' Chamaaaa, inagonga nguzo
39' Sesinyii, anakaa vizuri Che Malone
41' Chamaaaa, inagonga post Kwa mara nyingine
41' Chamaaaa, offside
[emoji786]Zimeongezwa dk 3
HALF TIME
π πHawa dawa yao ni kuwavunjia rekodi ya CAF ya goli 8. Tupige 10 halafu Manula aingie sub kucheza kama streka
Mungu Ibariki Tanzania!![emoji881][emoji881]ππππππππ[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]οΈ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#
Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.
Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki
Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?
Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?
Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.
Welcome for the show
====== ==
Timu ya Simba inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mchezo wa mwisho wa Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Dar es Salaam, leo Machi 2, 2024.
Ushindi utaifanya Simba ifuzu kuingia Robo Fainali kwa kufikisha pointi 9 hata kama Wydad itashinda dhidi ya ASEC Mimosas (imeshafuzu) na kufikisha pointi 9 pia, Simba ina faida ya kuwa na magoli mengi katika mechi baina ya timu hizo zilipokutana (head-to-head).
Aidha, Jwaneng nayo ina nafasi ya kufuzu, hilo litawezekana ikitokea imeshinda (itafikisha pointi 7) kisha Wydad ikapoteza.
Pamoja na yote ikumbukwe Jwaneng iliwahi kuiondoa Simba katika Raundi ya Pili ya michuano hiyo Msimu wa 2021/22, mchezo wa kwanza Simba ikishinda 2-0, marudio Galaxy ikashinda 3-1.
=========
Welcome for the show
KIKOSI CHA MNYAMA
View attachment 2922363
1' mechi imeanza
3' KIBU anashindwa kuwatengenezea wenzake, amepokwa mpira kwenye boksi
6' Chama ananyumbulika sio kitoto, kona ya kwanza
7' GOAL,, Saidoo assist kutoka Kwa mwamba wa Lusaka
[emoji95]Simba anazidisha mashambulizi lango la Jwaneng
12' Jwaneng wanafanya shambulizi, off target
14' GOAL, Jobeee assist ya Saidoo
15' Jobeeee, off target
21' GOAL, Kibu Denis assist ya Chama
26' Jwaneng!!! off target
28' Saidoo Ntibazonkiza yuko chini
34' Jwaneng wanapata free kick, haijazaa matunda
37' Chamaaaa, inagonga nguzo
39' Sesinyii, anakaa vizuri Che Malone
41' Chamaaaa, inagonga post Kwa mara nyingine
41' Chamaaaa, offside
[emoji786]Zimeongezwa dk 3
HALF TIME
Ongeza sauti π π πWamejipatia kibonde wanajipigia
Leo Wame jua kutoka mafichoni vijana wa tajiriWamejipatia kibonde wanajipigia
Tulia wewe utopolo... Shughuli ya wanaume usije na mtandio...Wamejipatia kibonde wanajipigia