FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Wydad huko ilipo ilikuwa inapambana mpaka kupata bao katika mazingira magumu

Wydad aliamini Jwaneng Galaxy anaweza kufanya lolote hivyo ni vyema na yeye akajibidiisha ili ikitoa zari apite.

Lakini nayaona matumaini yao yakienda kufifia baada ya halftime kuingia LiveScore.
 
Pamoja na kwamba Mimi ni shabiki wa Simba lakini tukifanikiwa kuingia robo fainali tusibweteke kabisa. Hii Galaxy ni daraja TU la kufikia robo fainali hakuna timu hapa. Hii galaxy haina tofauti na Gwambina FC.

Una Hakika We ni shabiki wa Simba.....!

Iulize tena nafsi yako... Mimi ni shabiki wa nani?
 
Form is temporary but Class is permanent
IMG_0128.jpeg
 
Chama ndio icon ya mpira kwa Tanzania

Sio kama wajinga kila msimu kumsajili, ukweli wanaujua ili inawalazimu kutukuza vya kwao (hata kama vibovu) kwasababu nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani.
 
Simba 3-0 Galaxy

Hakuna ripoti za mtu kuzimia

Zaidi kama mashabiki tumeghadhabika kwa magoli machache tuliyopata kipindi cha kwanza.

Yale mashuti mawili ya Chama yaliyogonga mwamba yamenifanya nivunje aifoni yangu ya 15 pro.

Watu wananishangaa kwanini sionekani kujali kuharibika kwa simu yangu badala yake naonekana kukasirika kipindi cha kwanza kuhitimika kwa goli chache.

Mkuuu kama simu imepasuka kioo tuuu leta nikakueekee kipya......
 
[emoji881][emoji881]𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm

Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#

Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.

Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki

Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?

Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?

Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.

Welcome for the show
====== ==

Timu ya Simba inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mchezo wa mwisho wa Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Dar es Salaam, leo Machi 2, 2024.

Ushindi utaifanya Simba ifuzu kuingia Robo Fainali kwa kufikisha pointi 9 hata kama Wydad itashinda dhidi ya ASEC Mimosas (imeshafuzu) na kufikisha pointi 9 pia, Simba ina faida ya kuwa na magoli mengi katika mechi baina ya timu hizo zilipokutana (head-to-head).

Aidha, Jwaneng nayo ina nafasi ya kufuzu, hilo litawezekana ikitokea imeshinda (itafikisha pointi 7) kisha Wydad ikapoteza.

Pamoja na yote ikumbukwe Jwaneng iliwahi kuiondoa Simba katika Raundi ya Pili ya michuano hiyo Msimu wa 2021/22, mchezo wa kwanza Simba ikishinda 2-0, marudio Galaxy ikashinda 3-1.

=========

Welcome for the show

KIKOSI CHA MNYAMA

View attachment 2922363


1' mechi imeanza
3' KIBU anashindwa kuwatengenezea wenzake, amepokwa mpira kwenye boksi
6' Chama ananyumbulika sio kitoto, kona ya kwanza
7' GOAL,, Saidoo assist kutoka Kwa mwamba wa Lusaka

[emoji95]Simba anazidisha mashambulizi lango la Jwaneng
12' Jwaneng wanafanya shambulizi, off target
14' GOAL, Jobeee assist ya Saidoo
15' Jobeeee, off target
21' GOAL, Kibu Denis assist ya Chama
26' Jwaneng!!! off target
28' Saidoo Ntibazonkiza yuko chini
34' Jwaneng wanapata free kick, haijazaa matunda
37' Chamaaaa, inagonga nguzo
39' Sesinyii, anakaa vizuri Che Malone
41' Chamaaaa, inagonga post Kwa mara nyingine
41' Chamaaaa, offside
[emoji786]Zimeongezwa dk 3

HALF TIME
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#
 
[emoji881][emoji881]𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm

Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#

Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.

Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki

Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?

Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?

Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.

Welcome for the show
====== ==

Timu ya Simba inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mchezo wa mwisho wa Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Dar es Salaam, leo Machi 2, 2024.

Ushindi utaifanya Simba ifuzu kuingia Robo Fainali kwa kufikisha pointi 9 hata kama Wydad itashinda dhidi ya ASEC Mimosas (imeshafuzu) na kufikisha pointi 9 pia, Simba ina faida ya kuwa na magoli mengi katika mechi baina ya timu hizo zilipokutana (head-to-head).

Aidha, Jwaneng nayo ina nafasi ya kufuzu, hilo litawezekana ikitokea imeshinda (itafikisha pointi 7) kisha Wydad ikapoteza.

Pamoja na yote ikumbukwe Jwaneng iliwahi kuiondoa Simba katika Raundi ya Pili ya michuano hiyo Msimu wa 2021/22, mchezo wa kwanza Simba ikishinda 2-0, marudio Galaxy ikashinda 3-1.

=========

Welcome for the show

KIKOSI CHA MNYAMA

View attachment 2922363


1' mechi imeanza
3' KIBU anashindwa kuwatengenezea wenzake, amepokwa mpira kwenye boksi
6' Chama ananyumbulika sio kitoto, kona ya kwanza
7' GOAL,, Saidoo assist kutoka Kwa mwamba wa Lusaka

[emoji95]Simba anazidisha mashambulizi lango la Jwaneng
12' Jwaneng wanafanya shambulizi, off target
14' GOAL, Jobeee assist ya Saidoo
15' Jobeeee, off target
21' GOAL, Kibu Denis assist ya Chama
26' Jwaneng!!! off target
28' Saidoo Ntibazonkiza yuko chini
34' Jwaneng wanapata free kick, haijazaa matunda
37' Chamaaaa, inagonga nguzo
39' Sesinyii, anakaa vizuri Che Malone
41' Chamaaaa, inagonga post Kwa mara nyingine
41' Chamaaaa, offside
[emoji786]Zimeongezwa dk 3

HALF TIME
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#
 
Back
Top Bottom