ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Hapa tumewafunga washamba fc, wydad fc jwaneng wenyewe.Kipigo kikubwa mpka sasa kwny ligi mabingwa mpk sasa...
Kunywa maji mengi sanaNotes za kufanyaje wakati hatua unayoishiaga ndio naye kaingia? Sasa muanze kuvuka robo ili umuache hatua utopolo ila kwasasa wote mpo darasa moja la robo fainali. Tuome ni nani kidume wa kufuka hili darasa
Tutakoma Simba mnaongea nyie ila hongereni mmevuka zile 5G tulizowapiga unakumbuka?😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sis bado hujatesekaaa, yaan bado hapo.
Subiri mpira uisheee.
Mwaka jana record tuliweka sisi, na mwaka huu tunaweka tena sisi.Kipigo kikubwa mpka sasa kwny ligi mabingwa mpk sasa...
tunawakumbuka sana hawa, na hiki kisasi hakiishii kwA JWANEWNG tu, hata WYDAD naye anahusika ndege wawili jiwe mojaKisasi cha kikatili mno..