FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Labda ungekuwa sahihi kama ingekuwa ni mara ya kwanza kwenye hii michuano simba kumkanda mtu za kutosha na kuingia robo.
Yanii muwashukuru Jwaneng mtepetooooo leoo ! Hakuna lolote mechi imeelemea upande mmoja kabisa 😕😕😕
 
Waliingia Makundi bahati mbaya kama Yanga mwaka 'Alfu moja Mia tisa tisini na nane' .... ndio 1998 waliburuza mkia
 
Tatizo.watu wa ukanda huo ni wangoni...wanaongea sana.
 
Back
Top Bottom