Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Ukiona Chama anawazungusha anavyotaka, jua wapinzani ni wabovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona Chama anawazungusha anavyotaka, jua wapinzani ni wabovu
Jobe ni falaJobe, saidoo wanapaswa kiachwa msimu huu simba inahitaji watu sio hizi takataka, saidoo umri umeshamgomea, jobe hamna kitu, jobe wawili jumlisha koublan wawili unapata nusu ya phiri.
Hata wale wapemba CB?Hii ni kati ya timu mbovu iliyoingia makundi safari hii
Labda ungekuwa sahihi kama ingekuwa ni mara ya kwanza kwenye hii michuano simba kumkanda mtu za kutosha na kuingia robo.
Tofauti ya Yikpe na Jobe ni rasta
Tushazoea siyeeeMuda wa Ahmedy ally na yeye Kuzimia asituangushe wana SIMBA
Yanii muwashukuru Jwaneng mtepetooooo leoo ! Hakuna lolote mechi imeelemea upande mmoja kabisa 😕😕😕Labda ungekuwa sahihi kama ingekuwa ni mara ya kwanza kwenye hii michuano simba kumkanda mtu za kutosha na kuingia robo.
Leo ukakigawe kisawa sawa [emoji1787] Furaha ulionayo sio poaUTOPOLO MLIBWANJIIIIIIIIII
Fredi naye kaingia na mihasira ya kufunga.Jobe anataka kufunga ana hasira sana na kupata goal kule mbele kulikuwa na chama na Kibu pia
Ww ukiwa na furaha huwa unakigawa?Leo ukakigawe kisawa sawa [emoji1787] Furaha ulionayo sio poa
Sema wewe! Jwaneng ni Hamnaa kituuu ndio ponapona yaoUkiona Chama anawazungusha anavyotaka, jua wapinzani ni wabovu
Ahhaha Wale si ndo mara ya kwanza sisi tukifika Nusu fainali MO na Ahmedi lazma wazimie