FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Makolo mmejifunza kwetu namna ya kushinda goli nyingi, mbuzi maji
Huna hata aibu kaahh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]miaka 89 mnafuzu kwa mara ya kwanza tujifunze nini kwenuuu sasaa...
Hebu ona haya baasiii ht km una roho mbayaaaa
Mwaka jana hororya alikula saba brooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kala mkono tayari 5-0 football siyo boxing hutakiwi kuongea shit kabla ya mechi
 
Furaha mnayopata kushinda tano sisi tulishaipata tulivyowapiga makolo kono la nyani.
 
Back
Top Bottom