princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
hata vibe hamna, naona kimya kumbe magoli yameendeleaLadha ya mpira imepotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata vibe hamna, naona kimya kumbe magoli yameendeleaLadha ya mpira imepotea
Yaani tukitoka hapa kesho tu tumesahau, wale washamba washamba sasa....Wala HATUZIMIIII......!!
Mwiko unamsumbua huyoImeenda wapi? Umepata Maleria ya ghafla?
Anakuja sasa hivi 😂😁😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niiitie Shadeeya plz.
Tutakoma hii week itakua ndefu sana mna midomo sana Simba🙂😀Wewe ndo ukumbukeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna jipyaaa sis
Pole sanaAaha simba mna sifa nyie, huku mtaani ni kelele hatusikilizani😀
Eti mamelody [emoji849][emoji849][emoji849][emoji28][emoji28][emoji28]Walete hao Mamelodi sasa
Kwa wiki moja zimeingia goli 10 za Kimataifa 🙄🙄Mkapa stadium ni kama motoni kwa timu za nje safi sana simba sc na Yanga Sc
Ahsante mkuuPole sana
Mnaotesekaaa dawa yenu ninayoooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata vibe hamna, naona kimya kumbe magoli yameendelea
Yanga kafundishwa kipi?Sadi sana. Hivi ni vitu vya kawaida sana. Tulikuwa tunamfundisha Yanga