Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kichaa chako kilitulizwa na al ahly jana.Kama kweli mnayaweza njooni avic tupige friend,msionee wagonjwa
Naombaaa nileteee hapa huyo mtu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anakuja sasa hivi [emoji23][emoji16][emoji23][emoji23]
Helooo upoo rafiki wa mnyamaa😂😁😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtatesekaaa sanaa na badooo.Tutakoma hii week itakua ndefu sana mna midomo sana Simba[emoji846][emoji3]
Wameingia robo kwa kuchechemea 🤣😂🤣Unaingia Robo Kibabe.....
Sio unaingia Robo Kwa Kupoteza...
Kwa hiyo Wydad out?Loooooo kumbe wachawiiii..hata wydad walisema hilo
Kabisa sasa hivi mpira wa kibongo unakuja kwa kasi sanaKwa wiki moja zimeingia goli 10 za Kimataifa 🙄🙄
Ndo hivyo dada akeeee...Kwa hiyo Wydad out?
uzur mmejikumbusha wenyewe kama mnalia mana nilikuwa sijui kama mlikuwa mnaliaYaani tukitoka hapa kesho tu tumesahau, wale washamba washamba sasa....
Kwa hiyo Wydad out?