Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Umbumbumbu huwa haujifichi ndiyomaana hata kwenye majukwaa ya Klabu za Ulaya huwa unashabikia Arsepimbi sababu umekaa kipimbi pimbi tu [emoji38]Ukikutana na shabiki la UTO mpige kofi la daima mbele nyuma
Roho mbaya tu...π€£π€£π€£πKama nyinyi mmeweza kuwafunga 3 kipindi Cha kwanza kwann na wao washindwe kuwafunga 4 kipindi Cha pili?
Unaposema mwaka huu, ukumbuke kwamba sio mara ya kwanza Simba Sc kucheza CAFCL na mara zote imekuwa ikifanya hiki inachokifanya sasa (kuingia robo fainali)club bigwa mwaka huu imejaza timu za kipumbavu
1.vipers
2.horoya
3.coton sport
4.zamalek
5.simba
Hi! Sis Kalpana safii sana Simbaaa..ndio inatakiwa hivyo hadi finala hiyoooThe monster
Hi National Anthem
Kuwa mpole upe muda wakatiKama nyinyi mmeweza kuwafunga 3 kipindi Cha kwanza kwann na wao washindwe kuwafunga 4 kipindi Cha pili?
Bob jr yule marehemu wa serengeti?π πKuna mwana alikuwa anasema Simba SC ni kama Simba Bob Junior π€£π€£π€£π€£
Sijui sasa hivi ana hali gani?!
Bado mpoFriends of Horoya....tunaitakia ushindi wa kishindo Horoya ac
Cc Numbisa
Huu ni uchawi wa kijingaKama nyinyi mmeweza kuwafunga 3 kipindi Cha kwanza kwann na wao washindwe kuwafunga 4 kipindi Cha pili?
Mdomo KOMA [emoji4]Robo tunamtaka Mamelod
Oh na like bus kurudi kinyume nyume je?Walitukataza kutia dua usiku wa kuamkia mechi
NILICHOJIFUNZA KWENYE MAISHA KUPITIA SIMBA, USIMUONGELEE MTU JINSI ANAVYOANZA FINAL NI JINSI MTU ANAVYOMALIZA...
kipa jinga huyoIle hype mliyokuwa mnawapa kabla ya game iko wapi?
[emoji23]
Tuende wapi sasa we vipiBado mpo
Itupe tu hyohii tecno yangu inashabikia Uto nini,mbona simba kaweka cha tatu live score inanionyesha bila bila,,kha,,,!