Ulikuwa na hofu mkuu?
Hawa Yanga na Simba wamekubaliana waache ulozi wa kuzibiana mafanikio kimataifa.
Wamejua kimataifa kuna hela. Wanazitaka
🙌🙌🏃🏃Uwuiiii uwiiiiiii kumbe 6 uwiiiiii
Dogo njoo upate the finest wine [emoji23][emoji23][emoji23]Uwuiiii uwiiiiiii kumbe 6 uwiiiiii
Hata mimi nashangaa. Kumbe tatizo sio kipa. Timu nzima ni mbovuKulikuwa na haja gani kubadilisha kipa 🤣
Magoli ya Simba matamu[emoji1787][emoji1787]Kulikuwa na haja gani kubadilisha kipa [emoji1787]
Bado moja tuwe kama Liverpool
Kipa mwingine huyo wamebadilisha 🙌Narudia Tena kipa hawana makosa kisa ni uwezo wa Hawa Simba unajidhihirisha.
Mamameee (leo tunaaaibika tunaojifanyaga kuwa wastaarabu kwa mzuka wa Simba) [emoji23][emoji23][emoji23]Nasisitiza bado mbili...
asantePole jamaniiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kipa wa kwanza kala 3 na huyu kala 3 au tuwaazime beno awasaidie [emoji3][emoji3]