Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Ulikuwa na hofu mkuu?
Hawa Yanga na Simba wamekubaliana waache ulozi wa kuzibiana mafanikio kimataifa.
Wamejua kimataifa kuna hela. Wanazitaka
Banda umiza lina wapuuzi hawajui mpira wanakera sana...