Vipi mtani,Yangu macho Mtani.
Wydad Casablanca, Esperanse Tunisia au Mamelodi Sundowns.Zilipofika bao 3 Horoya akafikiri jamaa atafunga zipu
Famchezo nini na kupigiko cha 'wiki'..Uzi umekimbiwaa
Sio utani mkuuuFamchezo nini na kupigiko cha 'wiki'..
Aje yeyote tu....Wydad Casablanca, Esperanse Tunisia au Mamelodi Sundowns.
Nacheka lakini naogopa!
Utakuwa ni mtu wa ajabu kama hujui sababu za Simba kushangilia.mzee inafahamika horoya hawana cha kupoteza baada ya raisi wao kuwazingua ahadi ya kuwapa fedha zao m100
nashangaa mnacho changilia
Mzimu wa 'Bob junior' umehusika na mauaji huko 'Lupaso'..ππ
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Horoya na Vipers zishakutia nguvu au sio? [emoji16][emoji16]Aje yeyote tu....
Hii kitu inaumia ikiwa wpLolote baya liwakute simba kwa uwezo wake mungu.....
Napokea ofa mkuuππNina offer wakuuππ