FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Mnyama Mkubwa Mwituni asiyefugika, Simba Sports Club anashuka dimbani leo kuikabili Horoya AC katika mchezo muhimu wa kundi C.

Simba itaingia uwanjani ikiwa na alama 6 huku Horoya wakiwa na alama 4. Ushindi wa aina yoyote utawafanya Simba wafuzu robo fainali.

Leo ni ama afe kipa au afe beki, ushindi ni lazima kwa Mnyama, na kwa uzoefu wangu, mechi za namna hii Simba akiwa kwa Lupaso huwa tunashinda goli zisizopungua 3.

Shime wana Simba tujitokeze kwa wingi hapo Lupaso ili tukahanikize ushindi wetu mapema, najua friends of Horoya watakuwepo ila hawatosumbua.

Mchezo utakuwa mubashara saa 1:00 usiku na kama kawaida, ZBC 2 ya AzamTv na Variety 4 ya DStv watakuwa live.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Simba Sports Club. 🦁🦁🦁
Maranyingi Mo Dewji akiahidi mpunga Simba huwa inapoteza au kutoka sare....ngoja tusubirie leo
 
Kimya Kabisa, Mwenyewe Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa Nimeingia

Mfalme wa Pori [emoji881] Nguvu Moja [emoji123]
20230308_070514.jpg
 
Mimi Nimejisifu Yanga Kuna Wachezaji Wazuri?, Mimi Nakushangaa Wewe Unaesema Eti Kufungwa Nyie Leo Hilo Haliwezekani Wakati Wachezaji Wenu Quality Ya Kawaida Na Wengine Quality Ndogo Kabisa Mmoja Wapo Ni Mzamiru.
Hapo walipo uliwafikisha wewe
 
wadhamini kidogo,,Al hilal 0-0 Vs Mamelody second half.
👆
nimeweka apdate iyo mechi kwasababu uko mbele moja ya izo timu itakutana na Simba na itapasuka nje ndani.Simba atafika mbali sana.
 
Mnyama Mkubwa Mwituni asiyefugika, Simba Sports Club anashuka dimbani leo kuikabili Horoya AC katika mchezo muhimu wa kundi C.

Simba itaingia uwanjani ikiwa na alama 6 huku Horoya wakiwa na alama 4. Ushindi wa aina yoyote utawafanya Simba wafuzu robo fainali.

Leo ni ama afe kipa au afe beki, ushindi ni lazima kwa Mnyama, na kwa uzoefu wangu, mechi za namna hii Simba akiwa kwa Lupaso huwa tunashinda goli zisizopungua 3.

Shime wana Simba tujitokeze kwa wingi hapo Lupaso ili tukahanikize ushindi wetu mapema, najua friends of Horoya watakuwepo ila hawatosumbua.

Mchezo utakuwa mubashara saa 1:00 usiku na kama kawaida, ZBC 2 ya AzamTv na Variety 4 ya DStv watakuwa live.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Simba Sports Club. 🦁🦁🦁
Simba anapigwa kama NGOMA leo! Mandonga Mtu kazi Simba WAMEYAKANYAGA Tena.
 
Back
Top Bottom