Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tangu utotoni naipenda Horoya 😁 pia naipenda sana YangaWw tangu lini ukawa Horoya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu utotoni naipenda Horoya 😁 pia naipenda sana YangaWw tangu lini ukawa Horoya?
Kwakuwa simba ina wachezaji wanne tu sio ?
Wewe mwenye wachezaji wazuri upo kwenye mashindano gani?Viazi Pori Wengi Tu Hao Baadhi Nimekutajia, Hivi Wewe Ukimtoa Huyo Chama Mnaemuimba Kila Uchwao Kuna Nn Tena Hapo….Kazi Imekwisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hivi ni vichekesho vipyaMzamiru mmoja = Aucho + Mudhathir (rejectee wa Azam) + Litombo combined
Hivi Azizi ki pale utopoloni alisajiliwa kwa shughuli ipi, mbna tuna muona anatema mate tu la maana hakuna ?
Ukimaliza kujifariji chukua panadol unywe upunguze maumivu ya mil 400[emoji1787]View attachment 2556210
Ukiamka itakuwa halisiNaona kama n kama ndoto vile
Wewe mwenye wachezaji wazuri upo kwenye mashindano gani?
Ukimaliza kujifariji chukua panadol unywe upunguze maumivu ya mil 400
Kumbe hukuacha haya mambo yako🫣🫣Nimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Hivyo vibuyu ni pasua... Sindio vilikudanganya kuwa jezi nyeusi za yanga ni nzito 😅😅...Nimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
SOSKumbe hukuacha haya mambo yako🫣🫣
Hujataka kutoa povuuu au unaweka akiba ya manenoo??Mpira wa miguu ni mchezo wa wazi, na unachezwa kwa dakika 90. Atakayecheza vizuri atashinda. Atakayefanya makosa, ataadhibiwa.