FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

2623db63f6ee0bfc9be62163457e7b81.jpg
 
Wewe mwenye wachezaji wazuri upo kwenye mashindano gani?

Mimi Nimejisifu Yanga Kuna Wachezaji Wazuri?, Mimi Nakushangaa Wewe Unaesema Eti Kufungwa Nyie Leo Hilo Haliwezekani Wakati Wachezaji Wenu Quality Ya Kawaida Na Wengine Quality Ndogo Kabisa Mmoja Wapo Ni Mzamiru.
 
Nimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Hivyo vibuyu ni pasua... Sindio vilikudanganya kuwa jezi nyeusi za yanga ni nzito 😅😅...
 
Mpira wa miguu ni mchezo wa wazi, na unachezwa kwa dakika 90. Atakayecheza vizuri atashinda. Atakayefanya makosa, ataadhibiwa.
Hujataka kutoa povuuu au unaweka akiba ya manenoo??
Mbna km hujiamini shouzzz akeee. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom